mdhalendo
JF-Expert Member
- Dec 14, 2011
- 282
- 273
Mifuko ya Hifadhi za Jamii kama NSSF inafanya uwekezaji mkubwa sana kwa kutumia michango ya wanachama. Miradi hiyo ya matrillioni ya Shillingi inajumuisha uwekezaji kwenye mabenki, kilimo na majengo makubwa ya kibiashara (Real estate), madaraja ya kulipia pamoja na uuzaji wa nyumba.
Je, wenye Mamlaka hawaoni kama ni busara sasa kwa wanachama wa mifuko hii kunufaika na michango yao kwa kupata GAWIO la angalau 10% ya faida inayotokana na miradi hii?
Kama mifuko inanufaika na ukwasi wa michango yetu, ni vibaya na sisi wanachama tukanufaika na faida ya uwekezaji huo? Karibu tutafakari pamoja.
Je, wenye Mamlaka hawaoni kama ni busara sasa kwa wanachama wa mifuko hii kunufaika na michango yao kwa kupata GAWIO la angalau 10% ya faida inayotokana na miradi hii?
Kama mifuko inanufaika na ukwasi wa michango yetu, ni vibaya na sisi wanachama tukanufaika na faida ya uwekezaji huo? Karibu tutafakari pamoja.