maganjwa
JF-Expert Member
- Sep 11, 2012
- 2,774
- 2,297
Wadau habari ya mdahuu.
naenda kwenya mada moja kwa moja. Tanzania imekuwa nchi ya ajabu sana hali hii ya kuutumia akili ya mtu moja bila kuwa na state document itakayolindwa na vyombo vya ulinzi na usalama bila bila kujali nani anaingia ikulu itakoma lini?
Maana tunashuhudia vimbwanga vingi mno mengine hata yanakiuka katiba ya nchi kiukweli hali hii mbele ya safari itatupoteza kabisa badala ya kufuata katiba ya nchi tutakuwa tunafuata akili ya mtu moja lakini tungekuwa na state document angelazimishwa na vyombo vya usalama na ulinzi wa nchi kuwa kushinda uchaguzi ni jambo moja na wakati ukiwa state house kuna namna inakupasa kufanya tofauti na ahadi zako
Mimi nikijaribu kuwaza kuhusu yanayotendeka nchini naona mbeleni tutakumbana na mkwamo mkubwa sana hapa simlaumu mtu yeyote kwa kuwa hatukuwa na kitu kama hicho ikulu unamlaumu nani.
Kuna watu wanaitwa spine doctors watu wa kufikiri kwa niaba ya nchi na mawazo yao ndo yanayofuatwa na ndiyo dira ya nchi. Hili ni kundi muhimu sana ambalo halifungamani na chama chochote cha siasa. Wao chama chao ni nchi kwanza ndo maana kwa wenzetu kuna assassination ya rais maana yake umezingua, umeenda kinyume na state document.
Document hiyo ina kila kitu kuanzia imani ya nchi kwa maana ya mfumo wa siasa mfano communism, capitalist nakadhalika na juu yake inajengwa kanuni za kufikia a good end ikiwa iko tested theoreticaly and practicaly. ili kila moja anayegombea ajue kwa nje nchi inafuata siasa ipi na ukifanikiwa kuukwa ukuu wa nchi unaenda kusimamia nini.
Wanajamvi ebu tujadiliane ili kama kuna watengeneza sera wa serikali humu waeze kuchukua point kadhaa.
Karibuni kwa mjadala
naenda kwenya mada moja kwa moja. Tanzania imekuwa nchi ya ajabu sana hali hii ya kuutumia akili ya mtu moja bila kuwa na state document itakayolindwa na vyombo vya ulinzi na usalama bila bila kujali nani anaingia ikulu itakoma lini?
Maana tunashuhudia vimbwanga vingi mno mengine hata yanakiuka katiba ya nchi kiukweli hali hii mbele ya safari itatupoteza kabisa badala ya kufuata katiba ya nchi tutakuwa tunafuata akili ya mtu moja lakini tungekuwa na state document angelazimishwa na vyombo vya usalama na ulinzi wa nchi kuwa kushinda uchaguzi ni jambo moja na wakati ukiwa state house kuna namna inakupasa kufanya tofauti na ahadi zako
Mimi nikijaribu kuwaza kuhusu yanayotendeka nchini naona mbeleni tutakumbana na mkwamo mkubwa sana hapa simlaumu mtu yeyote kwa kuwa hatukuwa na kitu kama hicho ikulu unamlaumu nani.
Kuna watu wanaitwa spine doctors watu wa kufikiri kwa niaba ya nchi na mawazo yao ndo yanayofuatwa na ndiyo dira ya nchi. Hili ni kundi muhimu sana ambalo halifungamani na chama chochote cha siasa. Wao chama chao ni nchi kwanza ndo maana kwa wenzetu kuna assassination ya rais maana yake umezingua, umeenda kinyume na state document.
Document hiyo ina kila kitu kuanzia imani ya nchi kwa maana ya mfumo wa siasa mfano communism, capitalist nakadhalika na juu yake inajengwa kanuni za kufikia a good end ikiwa iko tested theoreticaly and practicaly. ili kila moja anayegombea ajue kwa nje nchi inafuata siasa ipi na ukifanikiwa kuukwa ukuu wa nchi unaenda kusimamia nini.
Wanajamvi ebu tujadiliane ili kama kuna watengeneza sera wa serikali humu waeze kuchukua point kadhaa.
Karibuni kwa mjadala