Lini Tume yetu ya Uchaguzi itaanza kuchuja Mafisadi kama Kenya?

Martin George

JF-Expert Member
Jun 4, 2017
1,695
1,470
Wenzetu Kenya tume yao ya uchaguzi IEBC INA uwezo wa kumuondoa mgombea yeyote anayehusishwa na ufisadi. Hapa Tanzania NEC inaweza kumzuia fisadi yeyote asigombee uongozi ktk uchaguzi mkuu?
 
NEC yenyewe ni fisadi; yaani wanarudisha Pesa za uchaguzi baada ya kufanya kufanya uchuma ya kuwanyiwa watu wengine haki ya kujiandikisha kwa kigezo cha ufinyu wa bajeti alafu baadae wanarudisha Pesa Ikulu kua zilibaki baada ya uchaguzi.

NEC ndo wapuuzi kupita ata wasajili wa vyama vya siasa
 
Back
Top Bottom