Lucas
JF-Expert Member
- Dec 3, 2011
- 2,457
- 1,108
Hapo miaka ya nyuma historia yatuambia kuwa Dar es salaam iliitwa Mzizima, jina lililokuwa na asili ya mahali hapa kabla ya sultan wa kiarabu kubadilisha na kupaita Dar es salaam
swali langu na hoja yangu leo ni moja; kwa kuwa jina la Dar es salaam sio la asili ya watanzania bali la wageni, viongozi wetu hawaoni kubadili na kurudisha jina la Mzizima, ambalo limekaa ki utalii zaidi na kiasili zaidi kuliko la sasa (dar es salaam)
je suala hili limewahi jadiliwa popote na majibu yake yalikuwaje?
swali langu na hoja yangu leo ni moja; kwa kuwa jina la Dar es salaam sio la asili ya watanzania bali la wageni, viongozi wetu hawaoni kubadili na kurudisha jina la Mzizima, ambalo limekaa ki utalii zaidi na kiasili zaidi kuliko la sasa (dar es salaam)
je suala hili limewahi jadiliwa popote na majibu yake yalikuwaje?