Lini Tanzania itawatimua wachina hawa?

Mpauko

R.I.P
Jan 19, 2019
2,323
3,353
Habari za leo..

Hivi leo serikali ya Kenya imewatimua wachina wote wasiokuwa na shughuli za kiuwekezaji, huku wakifanya kazi ambazo wazawa wanazimudu vilivyo.

Kulingana na changamoto za ukosefu wa ajira hapa nchini, ikichagizwa zaidi na wachina wengi wanaofanya biashara ya umachnga kkoo na wengine wemgi wanaofabya kazi katika makampuni ya wachina, kazi ambazo zilitakiwa kufanywa na wazawa.. Mfano madereva na wasimamizi..

Hali hii imechangia kwa kiasi kikubwa ajira nyingi kuhodhiwa na wachina hawa.. Aidha wamekuwa wakitengeneza bidhaa zisizo na kiwango na kuwauzia watz kisha faida kuipeleka kwao.. Hususani walivyo mabingwa wa kukwepa kodi hawa jamaa ni tatizo..

Ukiingia katika maduka yao risit wanazotoa huwa ni nusu tu ya kile ulicholipa..

Nachelea kujiuliza serikali yetu inasubiri nini kuwafukuza hawa watu?
images-51.jpeg
 
Habari za leo..

Hivi leo serikali ya Kenya imewatimua wachina wote wasiokuwa na shughuli za kiuwekezaji, huku wakifanya kazi ambazo wazawa wanazimudu vilivyo.

Kulingana na changamoto za ukosefu wa ajira hapa nchini, ikichagizwa zaidi na wachina wengi wanaofanya biashara ya umachnga kkoo na wengine wemgi wanaofabya kazi katika makampuni ya wachina, kazi ambazo zilitakiwa kufanywa na wazawa.. Mfano madereva na wasimamizi..

Hali hii imechangia kwa kiasi kikubwa ajira nyingi kuhodhiwa na wachina hawa.. Aidha wamekuwa wakitengeneza bidhaa zisizo na kiwango na kuwauzia watz kisha faida kuipeleka kwao.. Hususani walivyo mabingwa wa kukwepa kodi hawa jamaa ni tatizo..

Ukiingia katika maduka yao risit wanazotoa huwa ni nusu tu ya kile ulicholipa..

Nachelea kujiuliza serikali yetu inasubiri nini kuwafukuza hawa watu? View attachment 1127267


Mkuu hiyo picha na ulichokiandika ni vitu viwili tofauti..... inaonesha upeo wako ni mdogo mno
 
Hao wengine wamezaliwa hapahapa baada ya dada zetu wanaofanya kazi kwny viwanda vya wachina kuachia hovyo hivyo wengine ni watanzania wenzetu
 
Unapaswa kuongeza upeo wako mkuu... Picha inasadifu tu maudhui ya mada.... (wanafanya biashara ya uchuuzi wa bidhaa ndogondogo kama nguo na mabegi katika fremu zao, wanafanya kazi na majukumu ambayo watz wanayamudu vilivyo)

Kuza upeo wako wa kufikiri kwanza kwa maana hili dogo tu umeshindwa kulitafakari..
Mkuu hiyo picha na ulichokiandika ni vitu viwili tofauti..... inaonesha upeo wako ni mdogo mno
 
Habari za leo..

Hivi leo serikali ya Kenya imewatimua wachina wote wasiokuwa na shughuli za kiuwekezaji, huku wakifanya kazi ambazo wazawa wanazimudu vilivyo.

Kulingana na changamoto za ukosefu wa ajira hapa nchini, ikichagizwa zaidi na wachina wengi wanaofanya biashara ya umachnga kkoo na wengine wemgi wanaofabya kazi katika makampuni ya wachina, kazi ambazo zilitakiwa kufanywa na wazawa.. Mfano madereva na wasimamizi..

Hali hii imechangia kwa kiasi kikubwa ajira nyingi kuhodhiwa na wachina hawa.. Aidha wamekuwa wakitengeneza bidhaa zisizo na kiwango na kuwauzia watz kisha faida kuipeleka kwao.. Hususani walivyo mabingwa wa kukwepa kodi hawa jamaa ni tatizo..

Ukiingia katika maduka yao risit wanazotoa huwa ni nusu tu ya kile ulicholipa..

Nachelea kujiuliza serikali yetu inasubiri nini kuwafukuza hawa watu? View attachment 1127267

Duh, alijua anapigwa picha nini akaficha uso wake.

Kiuhalisia serikali imewakubatia sana hawa watu. Wapo ambao wanapaswa kuwepo kwenye shughuli wanazo fanya, lakini hili la kuuza karanga, mtaji wa sh 10,000, ni tusi kwa uongozi wa nchi hii.

Sijui walipoingia walijitambulisha kama wawekezaji au mamachinga.

Ili waondoke, serikali inapaswa iwapige marufuku kufanya hizo biashara, bora wangekuwa wanauza kwa jumla, iliwatanzania wanunue kwao na wauze rejareja, vinginevyo wafanyiwe yali ambayo watu wa S.A. wanawafanyia wageni.
 
Mkuu hiyo picha na ulichokiandika ni vitu viwili tofauti..... inaonesha upeo wako ni mdogo mno

Kwa mawazo yangu, wewe ndo mwenye upeo mdogo kuliko aliyeleta mada. Hiyo picha inaonesha jinsi wageni wanafanya shughuli ambazo zingepaswa zifanywe na watatnzania, tena walle wa hali ya chini ili wajipatie kipato. Sasa kama mtu anakuja kama mwekezaji, na uwekezaji wenyewe ndio huo wa karanga na sigara, basi huyosi mwekezaji bali ni adui wa wamachinga, kwani analeta ushindani sokoni.

Acha niitwe mbaguzi, siwezi nunua kitu kwa huyo mchina wakati watanzania wenzangu wapo, bora ni nunue kwa mtz mwenzangu
 
Duh, alijua anapigwa picha nini akaficha uso wake.

Kiuhalisia serikali imewakubatia sana hawa watu. Wapo ambao wanapaswa kuwepo kwenye shughuli wanazo fanya, lakini hili la kuuza karanga, mtaji wa sh 10,000, ni tusi kwa uongozi wa nchi hii.

Sijui walipoingia walijitambulisha kama wawekezaji au mamachinga.

Ili waondoke, serikali inapaswa iwapige marufuku kufanya hizo biashara, bora wangekuwa wanauza kwa jumla, iliwatanzania wanunue kwao na wauze rejareja, vinginevyo wafanyiwe yali ambayo watu wa S.A. wanawafanyia wageni.
Huwezi jua huenda walikuja na pesa nyingi ila zikapigwa na wajanja wa dar ikabidi waanzishe angalau biashara za mtaji mdogo kama Karanga na ubuyu
 
Asanteeeee kila mwenye upeo anao uwezo wa kuhusianisha picha na ujumbe... Rahisi sana
Kwa mawazo yangu, wewe ndo mwenye upeo mdogo kuliko aliyeleta mada. Hiyo picha inaonesha jinsi wageni wanafanya shughuli ambazo zingepaswa zifanywe na watatnzania, tena walle wa hali ya chini ili wajipatie kipato. Sasa kama mtu anakuja kama mwekezaji, na uwekezaji wenyewe ndio huo wa karanga na sigara, basi huyosi mwekezaji bali ni adui wa wamachinga, kwani analeta ushindani sokoni.

Acha niitwe mbaguzi, siwezi nunua kitu kwa huyo mchina wakati watanzania wenzangu wapo, bora ni nunue kwa mtz mwenzangu
 
Back
Top Bottom