Lini sheria inaweza kutumika irretrospective

Ti Go

JF-Expert Member
Jun 28, 2012
872
831
Wana jamii forum, jukwaa la sheria nauliza lini sheria inakubaliwa kutungwa leo na kutumiwa kuhukumu matukio yaliyopita. Nauliza kwa sababu siku za nyuma nilikuwa nimeajiriwa na shirika moja la umma, tukaelewana niache kazi na kulingana na sheria za wakati ule, Nilikuwa na haki ya kupewa pension ya kila mwezi mpaka mwisho wa maisha yangu. Baada ya miaka 5 ikatungwa sheria ya kufuta sheria ile na kutaka mtu akiacha kazi kama hajafikia umri 55, asipewe pension mpaka ifikie 55. Ajabu sheria hiyo mpya ikatukumika hata kwa waliostaafu kabla ya kutungwa sheria hiyo mpya.
Sasa nauliza kwa wataalamu wa sheria, ni haki kukumbwa na sheria hiyo mpya? Ni katika mazingira yapi sheria mpya inaweza kutumika kuhukumu matendo yaliyopita na inaenda nyuma kwa muda gani?
 
Retrospective law is legislation that retroactively changes the legal consequences (or status) of actions that were committed, or relationships that existed, before the enactment of the law.

In criminal law,it may criminalize actions that were legal when committed; it may aggravate a crime by bringing it into a more severe category than it was in when it was committed; it may change the punishment prescribed for a crime, as by adding new penalties or extending sentences; or it may alter the rules of evidence in order to make conviction for a crime likelier than it would have been when the deed was committed.

Conversely, a form of ex post facto law commonly called an amnesty law may decriminalize certain acts. A pardon has a similar effect, in a specific case instead of a class of cases.

Other legal changes may alleviate possible punishments (for example by replacing the death sentence with lifelong imprisonment) retroactively.

Some common-law jurisdictions like Tanzania do not permit retroactive criminal legislation.
 
You have talked on criminal cases, what about other cases like the one above?
 
You have talked on criminal cases, what about other cases like the one above?
kisheria inabid uendelee kulipwa kwa sababu the law mast be rectro active so unaweza kwenda mahakamanna wakakylipa kama kawaida
Retrospective law is legislation that retroactively changes the legal consequences (or status) of actions that were committed, or relationships that existed, before the enactment of the law.

In criminal law,it may criminalize actions that were legal when committed; it may aggravate a crime by bringing it into a more severe category than it was in when it was committed; it may change the punishment prescribed for a crime, as by adding new penalties or extending sentences; or it may alter the rules of evidence in order to make conviction for a crime likelier than it would have been when the deed was committed.

Conversely, a form of ex post facto law commonly called an amnesty law may decriminalize certain acts. A pardon has a similar effect, in a specific case instead of a class of cases.

Other legal changes may alleviate possible punishments (for example by replacing the death sentence with lifelong imprisonment) retroactively.

Some common-law jurisdictions like Tanzania do not permit retroactive criminal legislation.

Wana jamii forum, jukwaa la sheria nauliza lini sheria inakubaliwa kutungwa leo na kutumiwa kuhukumu matukio yaliyopita. Nauliza kwa sababu siku za nyuma nilikuwa nimeajiriwa na shirika moja la umma, tukaelewana niache kazi na kulingana na sheria za wakati ule, Nilikuwa na haki ya kupewa pension ya kila mwezi mpaka mwisho wa maisha yangu. Baada ya miaka 5 ikatungwa sheria ya kufuta sheria ile na kutaka mtu akiacha kazi kama hajafikia umri 55, asipewe pension mpaka ifikie 55. Ajabu sheria hiyo mpya ikatukumika hata kwa waliostaafu kabla ya kutungwa sheria hiyo mpya.
Sasa nauliza kwa wataalamu wa sheria, ni haki kukumbwa na sheria hiyo mpya? Ni katika mazingira yapi sheria mpya inaweza kutumika kuhukumu matendo yaliyopita na inaenda nyuma kwa muda gani?
 
Please bear with me, let me ask another question, case niloyosema hapo juu ilipelekwa mahakamani nà kwa Mara ya kwanza walalamikaji wakashinda, baadae walalamikiwa wakakata rufaa na wakashinda. Baada ya hapo walalamikaji wakakata rufaa. Tangu wakati huo mpaka leo tuaambiwa kesi bado. Nasikia mpaka wakili aliyekuwa anaisimamia aliisha kufa. Kwa wanasheria wapi naweza kucheck status yake na mfano kama kuna mkono wa serikali tunaweza kufanya nini kupata haki yetu?
 
1 Reactions
Reply
Back
Top Bottom