fungi06
JF-Expert Member
- Jul 1, 2020
- 632
- 854
Tunaomba kila mkoa wasone kulingana na uhitaji wa mazingira wa eneo husika but this subjects must be tought to every child
1.mathematics
2.physics
3.chemistry
4.biology
5. Geography
Na kiswahili,
Ata kama wakisoma kwa kingreza but masomo yaliyo bakia yawe kulingana na mazingira yanavyo ruhusu sioni haja mtoto wa dodoma ambae ajui arusha ajawai ata kupafika aulizwe climate condition ya kule while yake dodoma hajui ata namna ya kupambana nayo...
Dodoma wasome vya dodoma
Arusha wasome vya arusha
Nb.apa inakuja kwetu stakeholder wazazi kwa ujumla tushirikiane na walimu kutengeneza curriculum nzuri kulingana na mazingira yanayo tuzunguka
If you want to be a billionaire control nature
~ fungi
1.mathematics
2.physics
3.chemistry
4.biology
5. Geography
Na kiswahili,
Ata kama wakisoma kwa kingreza but masomo yaliyo bakia yawe kulingana na mazingira yanavyo ruhusu sioni haja mtoto wa dodoma ambae ajui arusha ajawai ata kupafika aulizwe climate condition ya kule while yake dodoma hajui ata namna ya kupambana nayo...
Dodoma wasome vya dodoma
Arusha wasome vya arusha
Nb.apa inakuja kwetu stakeholder wazazi kwa ujumla tushirikiane na walimu kutengeneza curriculum nzuri kulingana na mazingira yanayo tuzunguka
If you want to be a billionaire control nature
~ fungi