Bongolander
JF-Expert Member
- Jul 10, 2007
- 5,067
- 2,197
Wakuu mara ya mwisho rais kusafiri ilikuwa lini, na nani anaweza kukisia lini tena rais atasafiri, ataenda wapi na kwa sababu gani. Naona safari hii amekaa sana bila kusafiri. Labda safari zinapikwa. Kwani hawezi kuteua cabinet akiwa safarini? au ni lazima asafiri na baadhi ya aliowateua.