Nyumba za wasomi zinafikirisha kweli. Hii ni moja yaoHi, napenda kujua katika ujenzi, ni lini nipige siling board, ni baada ya rafu au baada ya kung'arisha chiping.
View attachment 1850789
Kwani kibanda si ni chako au? Wacha Unyamwezi wako hapa, pambana na hali yako.Hi, napenda kujua katika ujenzi, ni lini nipige siling board, ni baada ya rafu au baada ya kung'arisha chiping.
View attachment 1850789
Usikute huyu ni Mnyamwezi...hawa watu sijuwi wataacha lini ushamba.Hi, napenda kujua katika ujenzi, ni lini nipige siling board, ni baada ya rafu au baada ya kung'arisha chiping.
View attachment 1850789
HahahNgoja waje kukupa muongozo...
ndio mana nayake wiring kwanza inafata blabdering ukipga plasta kabla ya blanda ukija kuskim itaonesha michiriz ya kupasuka plasta .kwa ujenzi wa sasa ivi apo umewahi sana maana kabla ya plasta unatindua kwa ajili ya kuweka bomba na set up ya wiring halafu brandaring then plasta kwa maana iyo plasta itasaidia mbao za brandaring zisishuke sababu zitaend weka ukingo pale ila sio mbaya vyovyote vile inawezekana ata now maana kila mtu huwa na kipaumbele chake ktk ujenzi mkuu.
unajua wiring ni nini?ndio mana nayake wiring kwanza inafata blabdering ukipga plasta kabla ya blanda ukija kuskim itaonesha michiriz ya kupasuka plasta .
Sent using Jamii Forums mobile app