Nawauliza wakongwe hawa wanaomiliki vyama vya siasa Tanzania na maarufu kwa kugombea uongozi wa juu wa nchi na ndani ya vyama kila uchaguzi unapokuja. Ni lini mtastaafu siasa maana mmechosha sana maskioni mwetu?
1. Seif Sharif Hamad.
2. Mbowe Freeman.
3. Lowasa Edward.
4. Lipumba Ibrahim.
5. Cheyo John.
6. Dovutwa.
7. Zito Kabwe.
1. Seif Sharif Hamad.
2. Mbowe Freeman.
3. Lowasa Edward.
4. Lipumba Ibrahim.
5. Cheyo John.
6. Dovutwa.
7. Zito Kabwe.