Goodhope12
Member
- May 15, 2017
- 24
- 16
Jamani habari za muda huu?
Naiomba Wizara ya Elimu watuambie basi lini watatoa ajira za walimu walizotangaza nafasi zake mwezi wa 8. Vijana tunazisubiri sana tunaomba wizara husika itufikirie.
BORA WATOE MAJINA ELIGIBLE ILI WENGINE TUJUE NINI CHA KUFANYA.
Kwani hata kama nafasi zilikuwa chache lakini tunaomba watoe ili tujue jaman...!
Naiomba Wizara ya Elimu watuambie basi lini watatoa ajira za walimu walizotangaza nafasi zake mwezi wa 8. Vijana tunazisubiri sana tunaomba wizara husika itufikirie.
BORA WATOE MAJINA ELIGIBLE ILI WENGINE TUJUE NINI CHA KUFANYA.
Kwani hata kama nafasi zilikuwa chache lakini tunaomba watoe ili tujue jaman...!