sonzawileme
JF-Expert Member
- Jul 5, 2017
- 495
- 277
Swali gumu mkuu
HahahahaahaNimekosa sana nimekosa sana
Uchaguz unatuhusu nn sis bhana?nchi tapeli tu hiiSubiri kwanza wapo bize na uchaguzi Mdogo wa madiwani wakimaliza ndio watakuja huku.
Uchaguz unatuhusu nn sis bhana?nchi tapeli tu hii
2020 bora tuende ambako hatujui na wao uwezo wa kuamua mambo ili tuweze kufanya ulinganifu wa mambo,,,,walahi naapa mkiwapa wapinzan kwa mwanzo mtafaid sana maan watafanya yote mazur ili na wao waonekane kuwa wapo na wanaweza,,,,asa why tusijaribu tu?Nchi ya wasanii hii
Ndiyo maana nakuomba..Nimekosa sana nimekosa sana
Ulijuaje Kam zitatok Januarymay be jan