mbingunikwetu
JF-Expert Member
- Feb 17, 2015
- 13,663
- 18,037
Nilitamani mwanangu ajiunge na law School of Tanzania mwaka huu januari au June.
Cha kushangaza Ni kuwa intake zote zimeshajaa. Je waliomba lini?
Ina maana aliyehitimu 2020 nakupata cheti chake Desemba 2020 Hana uwezekano wa kuwahi kuomba intake yoyote ya januari au June?
Cha kushangaza Ni kuwa intake zote zimeshajaa. Je waliomba lini?
Ina maana aliyehitimu 2020 nakupata cheti chake Desemba 2020 Hana uwezekano wa kuwahi kuomba intake yoyote ya januari au June?