Mtoboasiri
JF-Expert Member
- Aug 6, 2009
- 5,101
- 1,946
..Walituambia kuwa makali ya mgao wa Umeme yatapungua. Lakini naambiwa Arusha mambo yanazidi kuwa magumu. Hadi operations Mount Meru hospital zinafanywa kwa kutumia rechargeable lights na kuwa kuna sehemu zimepata umeme saa zisizozidi 5 wiki hii.
Naanza kuogopa kila nikisikia ahadi toka serikali ya m.k.were
Naanza kuogopa kila nikisikia ahadi toka serikali ya m.k.were