Lini magamba watasema ukweli?

Mtoboasiri

JF-Expert Member
Aug 6, 2009
5,101
1,946
..Walituambia kuwa makali ya mgao wa Umeme yatapungua. Lakini naambiwa Arusha mambo yanazidi kuwa magumu. Hadi operations Mount Meru hospital zinafanywa kwa kutumia rechargeable lights na kuwa kuna sehemu zimepata umeme saa zisizozidi 5 wiki hii.
Naanza kuogopa kila nikisikia ahadi toka serikali ya m.k.were
 
Ulipiga kura mwaka jana?

2.jpg


Check Magamba wanavyo wapisha wanaume road
 
Mkuu usijali ipo siku tu watasema kweli!! hata mchawi anapokaribia kufa hutaja mambo yote aliyowahi kufanya!!

Kuna kitu nimegundua kwamba kila Ngeleja akitangaza mgao kwisha ndo unakuwa mkali..hii sio mara ya kwanza....sijui huyu jamaa ni mchawi!!!
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom