Citizen B
JF-Expert Member
- May 13, 2019
- 6,677
- 9,034
Sasa kwanini mbwa wasiwaelewe paka na panya wasiwaelewe panya na binadam wasiwaelewe nyani?Sauti inayotoka kinywani ndio sababu ya viumbe vyote kuelewana
Maana yake ni kuwa kama sauti imatoka hata kwa nyangumi wataelewana tu
Na neno Mama ndio lina nguvu sana kwa binadamu
Swali kuwa tulianza lini kuongea ni tangu enzi