Atakuwa anatania labdaLinex hajui kuimba??????????
Kuna ule wimbo wake mpyampya naupenda sijui unaitwaje, jamaa ana kipaji sana sema ndo hivo naona kama upepo umemkataa na stress zimeanza kumsumbua hadi anaanza kulilia credit kwenye nyimbo za zamaniLabda kama amekata tamaa, lakini uwezo wake bado ni mzuri
Oyomba na gone.Walipotoka kimuziki na walijisahau wakaendekeza usela wakijua ukiimba tu basi utaendelea kutoboa, wakashindwa jibrand na kuwa official hili ni tatizo kwa wasanii wetu wengi mifano ipo hai tangu zamani wasanii waliondekeza usela na wakakosa washauri wengi wamepotea ila wale waliostuka bado wapo na mziki umewajengea heshima mpaka leo mfano tuangalie
HBC iliyoundwa na prof jay, terry na fanani kipindi wametoka Jay alikaza akaheshimu mziki akuendekeza usela leo sote mashahidi jay yupo na heshima ipo ila kina fanani waliendekeza usela matokeo yake mnaona leo
East coast team kipindi chao wanafanya mziki wa ushindani na TMK kuna watu East Coast waliendekeza usela ila AY na FA kama walisoma mchezo wakapunguza usela wakafocus na vitu vya msingi leo tunawaona hao hapo
Juma nature alipata jina kubwa sana tena sana akaendekeza usela sela tu uswahili swahili tu leo yupo ila alipaswa awe zaidi ya hapo alipo
Njoo kwa wadada sister P zay B nk wote walipotea kisa usela ila Jide tunamuona alipata watu sahihi wakamuonyesha njia
Angalia afande sele hivyo hivyo usela sela leo yupo yupo tu ukiangalia wenzake kina solo thang, prof, sugu, mr paul nk wapo ila heahima ipo sababu hawakuendekeza usela
NB
Naposema usela na imanisha kupuuzia vitu kila jambo kuchukulia pouwa tu msanii baada ya jina kuendekeza starehe za kijinga kuendelea kuwa na marafiki wasio na future wala challenge ya maisha na kutotaka kujifunza kitu kipya kisa wewe msanii una jina.
Hata kama akipewa haki zote za huo wimbo, kibongo bongo ataufanyia nini ?Kuna ule wimbo wake mpyampya naupenda sijui unaitwaje, jamaa ana kipaji sana sema ndo hivo naona kama upepo umemkataa na stress zimeanza kumsumbua hadi anaanza kulilia credit kwenye nyimbo za zamani