Hiyo pesa unayotaka kununulia line si uiweke kwenye process tu upate line yenye document zako zilizokamilikaTafadhali mwenye nazo tuwasiliane
Umeshapata?Kwa yeyote anayeuza line tajwa hapo juu tafadhali wasiliana nami pm au hapa jukwaani.
Ninatanguliza shukrani
Nina line ya tigo pesa nimesajili kwa alama ya vidole nauza 150000 nicheck 0718243402 ipo active hadi ss hv inafanya kazi,
Hiyo pesa unayotaka kununulia line si uiweke kwenye process tu upate line yenye document zako zilizokamilika
Inachukua muda gani hadi kupata/kusajiliwa line yako ya Uwakala? Gharama yake jumla sh ngapi? Mtaji wa kuanzia inahitajika sh ngapi?
Inachukua muda gani hadi kupata/kusajiliwa line yako ya Uwakala? Gharama yake jumla sh ngapi? Mtaji wa kuanzia inahitajika sh ngapi?
Ahsante kwa ufafanuzi mkuuMkuu inachukua hadi miezi 3 au 4.
Kiwango cha kuanzia huwa wanasema 500k japo hata chini ya hapo inawezekana.
Bei ni bure lkn unajua nchi hii bure inachukua siku nyingi kufanikisha
Sent using Jamii Forums mobile app
Izo za Dodoma bado unazoo?zipo ila zpo dodoma
Izo za Dodoma bado unazoo?
Zinahitajika line za M pesa, Tigo pesa na Airtel zilizosajiliwa.
Kwa yeyote mwenye hizo line tajwa tuwasiliane pm au hapa jukwaani tafadhali
Acha hizo line zenye majina ya watu wengine, utakwama ùnapofanya muamala wa pesa kubwa mpaka mwenye jina akusaidie, sasa usumbufu wote huo wa nini?
Nenda kasajili kwa majina yako uwe na uhuru nazo.
Sent using Jamii Forums mobile app