Don255
JF-Expert Member
- May 30, 2012
- 1,069
- 847
Y4Tatizo siyo la
ni kweli siyo zote nimeona kwenye tecno M3,H6,H3
Y4Tatizo siyo la
ni kweli siyo zote nimeona kwenye tecno M3,H6,H3
We sio mzmaAcheni uongo huo
View attachment 359954
Tigo wameassume kuwa tecno zote ni fake!
Simu zenye MTK CPU nyingi security yk ni ndogo imei zake zina corrupt kirahisiTigo wameassume kuwa tecno zote ni fake!
Hhhaaaa umenchekesha sana mkuu mpk nashintwe kwanginka fidhuri Ann oomnmeshekeshha shanwa nmkuuMimi mwenyewe jana nimeshangaa ghafla haifanyi kazi, alaf napiga simu huduma kwa wateja wananambia eti nika renew without giving me reason why ime collapse.
Nimefika tigoshop jana kuna watu wengi wenye kesi kama hizo halaf tigo hawasemi kwa nini imekataa kufanya kazi yani ukiwambia tu wanakwambia toa 2000 u renew. yani jana wamenikera.
Bt mimi natumia Huawei