Kima mdogo
JF-Expert Member
- Sep 17, 2011
- 303
- 46
jamani ni takriban wiki sasa line yangu ya voda inanisumbua, naweza ongeza vocha labda ya 2000 nikiongea ikibaki 500 simu inakata nikijaribu kupiga tena inaniambia salio halitoshi, nikikaa nusu saa inakubali nikiongea kidogo inakata tena, jamani tatizo hili ni kwangu tu au na nyie mnalipata?