Hivi punde
JF-Expert Member
- Apr 1, 2017
- 2,554
- 8,551
Kuna kutupa line zako zote ubaki na moja tu kwa ajili ya internet (Data ) , Message na mawasiliano mengine.
Utabaki na line gani ? Itakutoa ?
Mm nabaki na Airtel, mtandao wa kijanja sana.
Vifurushi safi kabisa muda wote na iko safi sana!
Utabaki na line gani ? Itakutoa ?
Mm nabaki na Airtel, mtandao wa kijanja sana.
Vifurushi safi kabisa muda wote na iko safi sana!