Pascal Mayalla
Platinum Member
- Sep 22, 2008
- 50,467
- 113,574
Naunga mkono hojaBinadamu ni zaidi ya seli.
Ana mind ana consciousness ambavyo ni matokeo ya nafsi iliyo katika roho.
Life after Death: What happens after death?
Wanabodi, Hili ni bandiko la faraja kwa wafiwa waliowapoteza Wapendwa wao, wakidhani kifo ndio mwisho wa maisha, kumbe sio. Kifo ni mwisho tuu wa mwili na uhai, lakini roho ipo, haifi na inaishi milele. Uhai umeumbwa na kifo pia kimeumbwa. Ukizaliwa ni hakika siku yako uliondikiwa kufa...
www.jamiiforums.com