Mvumbo
JF-Expert Member
- Aug 20, 2015
- 3,426
- 11,910
Ndio ndugu yangu, unasema na bado! Kwa nini tupe faida tafadhali.Kama hakuna Vifo basi haya yanaweza kuwa ni planed kwa malengo maalum au kinyume chake ,na bado.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ndio ndugu yangu, unasema na bado! Kwa nini tupe faida tafadhali.Kama hakuna Vifo basi haya yanaweza kuwa ni planed kwa malengo maalum au kinyume chake ,na bado.
Umekwishaje?Haifai
Hii Ni Hatari
Vitendo Vya Hovyo Sana Hivi
Uchaguzi Umekwisha X 3
Anataka awaaminishe watu imetokea leo!NI nini dhamira yako juu ya kuleta hii habari? Tukio Hilo lilitokea kitambo
Unatakiwa ujue tatizo ni nini kabla ta kutafuta suluhisho.Juhudi Zifanyike Haraka Sana
Vinginevyo Mambo Haya Yataenea
Haikubaliki Hii
Ndio ndugu yangu, unasema na bado! Kwa nini tupe faida tafadhali.
Habari ya lini Hii?
Ni ngumu sana kwa wananchi waliogoma kushiriki maandamano kufanya matukio ya hivi, ila ni rahisi sana kwa wale waliokua wakihamasisha maandamano kutekeleza haya.
Serikali ifanye uchunguzi wahusika washughulikiwe
Mkuu hayo ni matukio ya tarehe 29/10/2020 na RC alishayatolea Press Conference na wahusika walishakamatwa. Mleta thread hii analake jambo! Anataka kuhamasisha kitu fulani katika jamii kwa sababu anaonyesha kama haya matukio yametokea hivi sasa wakati yalisharipotiwa hata kwenye vyombo vya habari vya nchini na nje!Ni ngumu sana kwa wananchi waliogoma kushiriki maandamano kufanya matukio ya hivi, ila ni rahisi sana kwa wale waliokua wakihamasisha maandamano kutekeleza haya.
Serikali ifanye uchunguzi wahusika washughulikiwe
Watakufungulia wewe au na wewe unakimbilia nje ya nchi karibuni?Una jitahidi sana kuuchora Mshale kuelekea unapo palenga ,Kesi ya Ugaidi mliyo sema mtamfungulia Mh Mbowe imeishia wapi !?..
Juhudi kama zipi?Juhudi Zifanyike Haraka Sana
Vinginevyo Mambo Haya Yataenea
Haikubaliki Hii
Kwa hiyo?Mkuu hayo ni matukio ya tarehe 29/10/2020 na RC alishayatolea Press Conference na wahusika walishakamatwa. Mleta thread hii analake jambo! Anataka kuhamasisha kitu fulani katika jamii kwa sababu anaonyesha kama haya matukio yametokea hivi sasa wakati yalisharipotiwa hata kwenye vyombo vya habari vya nchini na nje!
Muache kuleta taharuki kwa jamii!Kwa hiyo?
Una jitahidi sana kuuchora Mshale kuelekea unapo palenga ,Kesi ya Ugaidi mliyo sema mtamfungulia Mh Mbowe imeishia wapi !?..
Huu ni mwanzo tu, baada ya mbinyo wa kiuchumi nadhani 'gadhabu' na 'hasira' za wasiojulikana zitafika hadi mjengoni.Muache kuleta taharuki kwa jamii!
Utaumia wewe tu sisi tunachapa kazi tu ili tujiletee maendeleo wewe baki hapo tu.Huu ni mwanzo tu, baada ya mbinyo wa kiuchumi nadhani 'gadhabu' na 'hasira' za wasiojulikana zitafika hadi mjengoni.
It's a matter of time!
Yes, hata huyo mbunge aliyepigiwa 'kiberiti' nyumba yake I guess anaendelea kuchapa kazi kama malaika alivyomuagiza.Utaumia wewe tu sisi tunachapa kazi tu ili tujiletee maendeleo wewe baki hapo tu.
Jiulize pia vipi waliochoma hiyo nyumba wako wapi?Yes, hata huyo mbunge aliyepigiwa 'kiberiti' nyumba yake I guess anaendelea kuchapa kazi kama malaika alivyomuagiza..