Lindi: Watu wasiojulikana wamechoma moto nyumba ya Msimamizi wa Uchaguzi na nyumba ya Mbunge

Habari ya lini Hii?

Ni ngumu sana kwa wananchi waliogoma kushiriki maandamano kufanya matukio ya hivi, ila ni rahisi sana kwa wale waliokua wakihamasisha maandamano kutekeleza haya.

Serikali ifanye uchunguzi wahusika washughulikiwe
 
Ndio ndugu yangu, unasema na bado! Kwa nini tupe faida tafadhali.

Ndipo tulipo fikishwa na Watawala kila kukikuchwa tuna hubiriwa ubaya wa kuwa na Wapinzani mpaka mwenye Nchi kujiapiza kutopeleka Maendeleo ktk Majimbo ambayo yata waunga Upinzani mkono, msumari wa Moto ukagongwa ktk Uchaguzi Mkuu.Wasio na Dola wakapoteza/wenye Nchi waka dharauliwa baadhi waka uwawa na wengine kubaki na vilema huku wengine wakiwa korokoroni kwa Kesi za kutunga.

Wanaitafutia wapi Haki yao ilhali wanao takiwa kusimamia Sheria wamelala Kitanda kimoja na Chama tawala !?.
 
Habari ya lini Hii?

Ni ngumu sana kwa wananchi waliogoma kushiriki maandamano kufanya matukio ya hivi, ila ni rahisi sana kwa wale waliokua wakihamasisha maandamano kutekeleza haya.

Serikali ifanye uchunguzi wahusika washughulikiwe

Una jitahidi sana kuuchora Mshale kuelekea unapo palenga ,Kesi ya Ugaidi mliyo sema mtamfungulia Mh Mbowe imeishia wapi !?..
 
Ni ngumu sana kwa wananchi waliogoma kushiriki maandamano kufanya matukio ya hivi, ila ni rahisi sana kwa wale waliokua wakihamasisha maandamano kutekeleza haya.

Serikali ifanye uchunguzi wahusika washughulikiwe
Mkuu hayo ni matukio ya tarehe 29/10/2020 na RC alishayatolea Press Conference na wahusika walishakamatwa. Mleta thread hii analake jambo! Anataka kuhamasisha kitu fulani katika jamii kwa sababu anaonyesha kama haya matukio yametokea hivi sasa wakati yalisharipotiwa hata kwenye vyombo vya habari vya nchini na nje!
 
Mkuu hayo ni matukio ya tarehe 29/10/2020 na RC alishayatolea Press Conference na wahusika walishakamatwa. Mleta thread hii analake jambo! Anataka kuhamasisha kitu fulani katika jamii kwa sababu anaonyesha kama haya matukio yametokea hivi sasa wakati yalisharipotiwa hata kwenye vyombo vya habari vya nchini na nje!
Kwa hiyo?
 
Kumbe hawa watu wasiojulikana wapo upande huo,Basi hata kwa Tundu lissu itakua ni watu hawahawa wasiojulikana
 
35 Reactions
Reply
Back
Top Bottom