Hii habari ya siku nyingi tukio la tr 28 wakati wanasubiri matokeo, sijui unaileta habari hii leo kwa sababu gani. mbuzi ni mbuzi tu hambadiliki.Vitendo hivi vinazidi kushamiri nchini, watu wasiojulikana wamechoma moto nyumba ya Mwenyekiti wa Kijiji wamechoma moto magari na nyumba ya Msimamizi wa uchaguzi vile vile wamechoma moto magari na nyumba ya Mbunge.
View attachment 1626731
View attachment 1626732View attachment 1626733View attachment 1626734
View attachment 1626736
Habari ya siku nyingi hii, na wahusika walishakamatwa, sijui ana lengo gani mleta madaMaumivu huanza pole pole.
Unapozuia maandamano ya amani tegemea ya shari.
Mimi leo ndio nimeiona una lingine.Hii habari ya siku nyingi tukio la tr 28 wakati wanasubiri matokeo, sijui unaileta habari hii leo kwa sababu gani. mbuzi ni mbuzi tu hambadiliki.
Umekwisha lakini umekwishaje?Haifai
Hii Ni Hatari
Vitendo Vya Hovyo Sana Hivi
Uchaguzi Umekwisha X 3
Kwa hiyoMimi leo ndio nimeiona una lingine.
Watakuwa ni isis wa msumbijiVitendo hivi vinazidi kushamiri nchini, watu wasiojulikana wamechoma moto nyumba ya Mwenyekiti wa Kijiji wamechoma moto magari na nyumba ya Msimamizi wa uchaguzi vile vile wamechoma moto magari na nyumba ya Mbunge.
View attachment 1626731
View attachment 1626732View attachment 1626733View attachment 1626734
View attachment 1626736
Rudi hukohukounaweza kuta muendelezoUchaguzi 2020 - Kamanda Mambosasa: Mbowe na wenzake kushtakiwa kwa makosa ya ugaidi, walipanga kulipua vituo vya mafuta
UPDATE "Mbowe na wenzake watashtakiwa kwa makosa ya ugaidi kwa sababu kuna mtu ametupa ushahidi kuwa walipanga kulipua vituo vya mafuta jijini Dar na kuleta maafa makubwa," Lazaro Mambosasasa, Kamanda wa Polisi Kanda Maalum ya DSM. ===== Kamanda wa Polisi kanda maalumu ya Dar es Salaam ACP...www.jamiiforums.com
Najua upo kwenye access ya bure hapo somewhere Lumumba, upload hiyo press ya huyo kiraka wa jiwe hapa.Kweli wewe haupo TZ mbona RC wa Mtwara alitoa press muda mlefu na akaeleza waliokuwa wamekamatwa kuhusiana na matukio hayo!! Wewe ndiyo unasikia leo? Au kwa kuwa mitandao ilikuwa imezimwa?
😁😂Umekwisha lakini umekwishaje?
Utasababisha Watu Wakimbie Vyeo Vyao WeweJuhudi kama zipi?
Tatizo mataga hawajui nini wananchi wanataka
Karma Inafanya Kazi, Ushindi Wa Asilimia KubwaUnatakiwa ujue tatizo ni nini kabla ta kutafuta suluhisho.
Wamechoma ccm wenyewe kutaka kudhihirisha wananchi kuwa ni opposition leaders ndio wamewatuma. Manake ccm nao walisema lissu alijipiga risasi mwenyewe...Acheni ujinga kusema mali ya wananchi imechomwa. Nimekagua mali zangu hakuna iliyochomwa. CCM wasijivike ngozi ya wananchi kuhalalisha ushenzi wao. Waliiba uchaguzi ambao watu walichagua watu wao wanaowapenda, acha walipie upuuzi walioufanya.
Watu Wamevurugwa Wanataka Jamaa Wakimbie VyeoWamechoma ccm wenyewe kutaka kudhihirisha wananchi kuwa ni opposition leaders ndio wamewatuma. Manake ccm nao walisema lissu alijipiga risasi mwenyewe...
Huyu mlimwona ndie adui yenu,mkamhujumu kisayansi,ili asiwasumbue sasa bado the hamjaridhika kwa yote hayo,hayo bado mnamwombea mabaya, ski vizuri kufanya hivyo.Zikianza kuchomwa na za Mbowe uje pia
Sawa kabisa! Kila palipo mali za wasimamizi wa uchaguzi zishughulikiwe tu hamna namna! Wametenda dhuluma sana! Waende mpaka vijijini kwenye nyumba walizowajengea wazee wao!Vitendo hivi vinazidi kushamiri nchini, watu wasiojulikana wamechoma moto nyumba ya Mwenyekiti wa Kijiji wamechoma moto magari na nyumba ya Msimamizi wa uchaguzi vile vile wamechoma moto magari na nyumba ya Mbunge.
View attachment 1626731
View attachment 1626732View attachment 1626733View attachment 1626734
View attachment 1626736
Juhudi Zifanyike Haraka Sana
Vinginevyo Mambo Haya Yataenea
Haikubaliki Hii