Tukundane
JF-Expert Member
- Apr 17, 2012
- 11,455
- 8,247
Anafikiri ni sifa kumbe anajikaanga kwa mafuta yake mwenyewe,wanachama wa CCM wako chini ya elfu 1000 kura zaidi ya elfu 4 alizopata zingekuwa za halali wananchi waliochoma wangetoka wapi?.MaCCM mpo chini ya elfu moja lakini mmepata kura zaidi ya elfu nne.
Ndio maana mnapigwa moto.,
Hamna tofauti na VIBAKA.