Siku hizi zile kelele za mfumo dume hazisikiki tenaZamu yao Wanawake hii waacheni wajinafasi.
Raisi wetu wa kwanza Mwanamke hii ni History.
Zamu yao tuwashauri na tuwaunge mkonoSiku hizi zile kelele za mfumo dume hazisikiki tena
Kugalagala ni Utamaduni wa Mwafrika Mtemi Isike wa Unyanyembe kila alikokuwa akipita Watu walikuwa wakigalagala.Umasikini na ujinga ni janga Sana kwa nchi za kiafrica
Chadema hatuoni wivu, ni Sukuma Gang ndio wanalala kwa kumeza Valium.Chadema wataona wivu
Poleni Kwa kuhahaChadema hatuoni wivu ni Sukuma Gang ndio wanalala na Valium.
Unasema ukweli lakini kumbuka Mikoa ya Kusini ina umasikini wa hali ya juu hiwezi kuifananisha na Kilimanjaro na Arusha.Ni ujinga na njaa tu,ninavyopajua Mtwara hapo utakuta walitoka kuchota maji kwenye madimbwi saa kumi za usiku ili wawahi kumshangilia anayewatia njaa.
Mimi kama mkazi wa huko nikiona mke wangu ktk hilo kundi kesho angeamkia kwa baba yake
Hatuhahi Mzee, Siasa ni Game just wait and see.Poleni Kwa kuhaha
chadema haina upumbavu huo hicho kituko huandaliwa kwa mazezeta tuChadema wataona wivu
akili za kike bhanaPoleni Kwa kuhaha
Wanawake wa Kata ya Mnazi Mmoja mkoani Lindi, wakigalagala chini ikiwa ni ishara ya upendo wao kwa Rais Dkt @samia_suluhu_hassan na kwamba wamefurahishwa na kitendo cha yeye kuitembelea Kata hiyo.View attachment 2432843
Bora umuabudu shetani 😂 TuAmeelaaniwa yeye amuabuduye mwanadamu
Mwanetu akili zako, zimeamia kwenye kinyeoZamu yao Wanawake hii waacheni wajinafasi.
Raisi wetu wa kwanza Mwanamke hii ni History.
Hawa Wanawake NI Malaya , na Wana ukimwi kmmkWanawake wa Kata ya Mnazi Mmoja mkoani Lindi, wakigalagala chini ikiwa ni ishara ya upendo wao kwa Rais Dkt @samia_suluhu_hassan na kwamba wamefurahishwa na kitendo cha yeye kuitembelea Kata hiyo.View attachment 2432843