CCM nchi ishawashinda... too sad.Chanzo ni gazeti la Mwananchi.
Ni huko mkoani Lindi inasemekana wanaCuf hao walivamiwa makwao na watu waliokuwa wamejihami kwa siraha nzito na kutokomea nao kusikojulikana.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
CCM nchi ishawashinda... too sad.Chanzo ni gazeti la Mwananchi.
Ni huko mkoani Lindi inasemekana wanaCuf hao walivamiwa makwao na watu waliokuwa wamejihami kwa siraha nzito na kutokomea nao kusikojulikana.
Unataka liwekwe kwenye mlengo gani? ni wakina nani wenye tabia ya kuteka watu? ni mashekhe, mapadri au wachungaji? na hao watekaji hufanya hivyo kwa manufaa ya nani?Hivi unafikiri CUF ina madhara gani kisiasa Tanzania mpaka wanachama wake kutekwa?..
Tujaribu kutoliweka kila jambo kwenye mlengo wa kisiasa, ili fikra zetu ziende mbali kidogo..
Hapo sasa!!!Cuf yenyewe ilijifia kitamboo!
Lindi cuf ni threat, au umesahau hta JPM hakurudi kufanya kampeni huko!!Hivi unafikiri CUF ina madhara gani kisiasa Tanzania mpaka wanachama wake kutekwa?..
Tujaribu kutoliweka kila jambo kwenye mlengo wa kisiasa, ili fikra zetu ziende mbali kidogo..
Sidhani kama hiyo 'threat' yao ina uzito zama hizi,.....JPM kutokwenda Mtwara na Lindi huku wakati mwingine akijipa mapumziko ya wiki moja huenda ilikuwa sababu ya kiafya tu.Lindi cuf ni threat, au umesahau hta JPM hakurudi kufanya kampeni huko!!
Anawaiga wataalamu wa Kiki chademaLipumba unatafuta kiki ya nini tena ?
But nikiwaza nguvu iliyotumika kuzuia Lissu kufanya kampeni za lala salama huko Lindi na Mtwara (Ilipangwa mikutano sio chini ya 15) huku JPM hakufika ilihali kuna maeneo alirudi mara mbili ilitia shaka kidogo.Sidhani kama hiyo 'threat' yao ina uzito zama hizi, JPM kutokwenda Mtwara na Lindi huku wakati mwingine akijipa mapumziko ya wiki moja huenda ilikuwa sababu ya kiafya tu.
Ilibidi Majaliwa atumie mbinu ya kupita bila kupingwaBut nikiwaza nguvu iliyotumika kuzuia Lissu kufanya kampeni za lala salama huko Lindi na Mtwara (Ilipangwa mikutano sio chini ya 15) huku JPM hakufika ilihali kuna maeneo alirudi mara mbili ilitia shaka kidogo...
Ni kweli Ccm sio unpopular kumbuka hata mikoa ya Kaskazini nako ilitumika nguvu kubwa kuipa Ccm ushindi hivyo huenda nayo pia bado ni threat vile vile kama huko tu japo hakuna tukio hilo lilotokea siku za karibuni, kama hilo tukio ni la kisiasa huenda ni siasa za ndani ya mkoa za uhasama tu.But nikiwaza nguvu iliyotumika kuzuia Lissu kufanya kampeni za lala salama huko Lindi na Mtwara (Ilipangwa mikutano sio chini ya 15) huku JPM hakufika ilihali kuna maeneo alirudi mara mbili ilitia shaka kidogo...
Lindi cuf ni threat, au umesahau hta JPM hakurudi kufanya kampeni huko!!
Nilisita kidogo kutaka kukubaliana nawe; lakini "fikra" hizo hizo unazozisema hapa zinaweza kabisa kukufikisha sehemu ambayo wewe umeidharau, yaani ya "CUF kutokuwa na madhara".Hivi unafikiri CUF ina madhara gani kisiasa Tanzania mpaka wanachama wake kutekwa?..
Tujaribu kutoliweka kila jambo kwenye mlengo wa kisiasa, ili fikra zetu ziende mbali kidogo..
Usalama wa taifa ni top priority nchi yeyote ile... mbinu zote legal na illegal zinatumika ili muwe na Amani na muda wa kupost humu na kupiga soga vijiwe vya kahawa.Niliona kwenye taarifa ya habari. Nikajisemea moyoni kuwa bado wasijulikana wapoo eeennhhh.