Tulia dada angu haya mambo ni magumu sn huyaweziVita kati ya nani na nani?
Ni kweli hawaonewi huruma maana mpaka mabomu wanapigwa tu
to be honest mimi huwezi kunitoa nilipo nikafanye lolote kwa ajili ya mwanasiasa huo ni ujinga mkubwa sana katika maisha .
ona sasa unakula miaka 8 k'zembe hata aliyesababisha hana hatapeleka hata kilo ya unga kwa familia
dunia hii ...
We ni mmoja wa wahuni huko ccmWanayataka wenyewe,,,wakubwa wamekaa na familia zao manyumbani wanakula bata na wengine wako europe wanaenjoy nyie mnahangaika barabarani mkipigwa mnalialia,,,wakubwa hawana habari nanyi
We ni mmoja wa wahuni huko ccm
Fc lumumba🤣🤣Mimi co ccm walaa chama chochote kile. Nahitaji kiongozi mahiri na mwenye utu na huruma haijalishi anatokea chama gani. Ivyo 2mepata jembe mama ssh
yaani mimi huwezi nikuta kwenye huo upuuzi bora niwe bendera fuata upepo atakayeingia madarakani nafuata huyo huyo.Wanavunjwa miguu hakuna wa kuwasaidia 😁 ilihali wakubwa wamekaa manyumbani mwao wanakula bata,
bora nifagilie kwa mdomo huku nikiendelea ma mishe zangu zinazoniwezesga kupata chakua mimi na mke wangu sio upuuzi wa kupigania mtuNi kweli kama ambavyo hao wanasiasa ccm unawafagilia sana lakini wanakupa chakula wewe na mkeo
Ndiyo ujinga wa hawa watu wasipopewa rushwa haki hakunaUpuuzi mtupu, huko mikoani hao mahakimu fake wanajiona kama mungu, kesi za kisiasa hizi na kukomoana tuu, wanasheria mnaweza kujitolea kwenda kuwakatia rufaa na kuwapigania nina uhakika ni uonezi mtupu
Lindi ndio mkoa anaotoka Kasimu Majaliwa
Ndiyo maana upo kama ulivyoyaani mimi huwezi nikuta kwenye huo upuuzi bora niwe bendera fuata upepo atakayeingia madarakani nafuata huyo huyo.
nikauawe au nitupwe jela,nifanywe kilema niache familia yangu inahangaika kisa nini ?
Aliyefungwa si CHADEMA bali ni Wahalifu waliojificha mgongoni mwa CHADEMAMungu ibariki CHADEMA
yaani mimi huwezi nikuta kwenye huo upuuzi bora niwe bendera fuata upepo atakayeingia madarakani nafuata huyo huyo.
nikauawe au nitupwe jela,nifanywe kilema niache familia yangu inahangaika kisa nini ?
ulitaka niwe kama hao ?Ndiyo maana upo kama ulivyo