Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Meko ndio ameua zao la korosho na watu wanamsifia tuKwenye suala la korosho,
Serikali yetu ilishafeli na inaendelea kufeli.
Hii biashara walitakiwa waiche ijiendeshe yenyewe Kama yalivyo mazao mengine ya chakula.
Watupe sisi wananchi tuzile hivyo hivyo bure,matumbo yetu yapo poa,mnachomaje lishe?Huku kwetu zinauzwa ghali sana supermarket tunaishia kuziona kwenye vioo vya supermarketsKwa hiyo hapa habari ni korosho au mashujaa?
Hawana akili ati waziteketeze kivipi? kwani zime expire si zipo kwenye maganda ebo.Watupe sisi wananchi tuzile hivyo hivyo bure,matumbo yetu yapo poa,mnachomaje lishe?Huku kwetu zinauzwa ghali sana supermarket tunaishia kuziona kwenye vioo vya supermarkets
Yaleyale ya akili kama zile za kuchoma vifaranga vya Kenya..... kaazi kwelikweli.Ningekua rais mtu kama huyu asubuhi tu nishafukuza kazi na simpangii majukumu mengine yoyote aende akamlee mume. Pathetic!
Arooooo ,unachoma nafaka tena inayotoka kwenye mti jamaniHawana akili ati waziteketeze kivipi? kwani zime expire si zipo kwenye maganda ebo.