Tipstipstor
JF-Expert Member
- Nov 29, 2021
- 1,531
- 3,331
Wa
Wangeziuza katika mfumo wa mnada. Hivi mkuu hiyo ofisi ya mbunge wa mtama hapo ina kazi gani? Maana sijawahi kumuona Nape akifika maeneo hayo badala yake anataka aharibu pesa ajenge ofisi nyingine pale kiwalalaNImeziona hapo mtama nyuma ya ATM ya nmb Kuna mpaka mbao kibao sijui zilikamatwa lini zikatelekezwa pale..me nashauri serikali Bora igawe kwa wananchi vitu vyinavyokamatwa