Wadau,
mtu huyu anahitaji sana msaada wa kisheria,asaidiwe aweze kuwa huru.Hukumu iliyotolewa haikuwa na haki.Hii haina tofauti na ile ya Kasanga_Sumbawanga kwa hakimu kumuhukumu mbwa kwa kuwa aliitwa "immigration" wanasheria wa jirani na eneo la tukio angalieni namna ya kumsaidia mwalimu huyo.
Mmh... Aliyeanzisha hii thread a scan vizuri hilo gazeti ili tweeze kufahamu sababu halisi za kufungwa miaka yote hiyo! Mbona kuna wezi wakubwa sana bado wanapeta mitaani? Wengi viongozi wa siasa !
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.