Marire
JF-Expert Member
- May 1, 2012
- 12,326
- 5,264
mkuu usihofu,2015 tutaawaachia wote na nafasi zao huko jela watabadilishana akina chenge,jairo mkapa na mkewe,riz na etcThread kama hizi hufanya niweke comments zangu pending kwa kuhofia Ban
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
mkuu usihofu,2015 tutaawaachia wote na nafasi zao huko jela watabadilishana akina chenge,jairo mkapa na mkewe,riz na etcThread kama hizi hufanya niweke comments zangu pending kwa kuhofia Ban
+ Jairo + MaigeCCM hoye kwa kufunga mwalimu na kumwachia huru CHENGE!
This is onother curse eating justice and killing ccm. Small fishes are punished heavenly while the bigger are left to enjoy life and consume squandered public resources luxirously. God of mercy rescue our country!
Hii hukumu ingewafaa waliouza twiga......
Ina maana "wanaadhibiwa" kwa kupewa raha zaidi kama au kuliko peponi. Chukua mfano wa mzee wa vijisenti.Hapo kwenye Red hapo mkuu, unamaanisha wanaadhibiwa mbinguni ama?
The unseen is illustrated by the seen.
Unahangaika kwa kufukuza kuku wa kisasa! Kama mnaweza anzeni na:-
Chenge, Richmond walohusika wote mfano baasha kosa lake siwajui nawajua, kiwila, reli,bandari, epa, kagoda, melemeta,stimulate packages, panya kwenye halmashauri, mawaziri, iptl, rada pamoja na dege la rais, mapanki, korosho, powertiler, bot, safari za rais, vocha kilimo, tbs, atc, nyumba za serikali, pamba,utalii, madini, misitu, mauaji ya raia, wizi kura, mikataba yote mibovu nk.
CHADEMA TEGEMEO LA WANYONGE
Hapo kwenye Red hapo mkuu, unamaanisha wanaadhibiwa mbinguni ama?
The unseen is illustrated by the seen.