princemikazo
JF-Expert Member
- Jan 10, 2019
- 2,197
- 2,051
Kuna hili neno "F**k" limekua likinitatiza matumizi yake moja kwa moja.
Navojua maana yake ni kama tusi mfano mtu akisema'F**k you'obvious kakutukana, lakini pia nilikua naangalia tamasha fulani la Tyga aliwaambia mashabiki zake 'I'm real F**kin love you my fans' na mashabiki wakapiga shangwe kabisa!
Hapo ndo ninapo shindwa elewa ni tusi au? Pia kuna jamaa aliwahi sema kwenye movie 'This is my fcukin gun', Plz mwenye kujua maana ya hili neno na wakati sahihi wa kulitumia katika sentensi anisaidie......
Asanteni
Navojua maana yake ni kama tusi mfano mtu akisema'F**k you'obvious kakutukana, lakini pia nilikua naangalia tamasha fulani la Tyga aliwaambia mashabiki zake 'I'm real F**kin love you my fans' na mashabiki wakapiga shangwe kabisa!
Hapo ndo ninapo shindwa elewa ni tusi au? Pia kuna jamaa aliwahi sema kwenye movie 'This is my fcukin gun', Plz mwenye kujua maana ya hili neno na wakati sahihi wa kulitumia katika sentensi anisaidie......
Asanteni