pumzihaiuzwi
JF-Expert Member
- Mar 27, 2015
- 3,274
- 3,075
ishu sio umuhimu wao ishu ni hiyo kodi ya mwezi walipe kodi kama ni halali wao kupewa wawe kisheria na watambulike ili kusiwe na migongano.Madalali ni muhimu sana maana huwezi kutembea mtaa kwa mtaa kutafuta nyumba...utachukua miezi kuipata. Madalali ukitaka uone umuhimu wao uwe na bidhaa unauza au unataka kumunua hasa nyumba au kiwanja. Nadhani tuendelee kuwaheshimu hawa watu