Limeanza zoezi la vitambulisho vya walalahoi kuwa la lazima tujiandae kwa kodi ya kichwa

kido madini

JF-Expert Member
Oct 13, 2012
223
144
Kuna harufu wakuu inanukia nchi ya kusadikika hasa baada ya mkuu wa nchi ile kuanzisha utambulisho kwa ajili ya walalahoi nia ilikuwa njema ila sasa yawezekana kikawa chanzo kipyaaaa kilichokuja kuwa kero maana yasemekana kuwa hadi wauza karanga za kutembeza mtu anamtaji wa elfu 3 hahaa mtukufu fundi bwana hahaa ila kingine cha kushtua ni kuwa naskia hadi vibarua wa mashambani nao wanapaswa kuwa na vitambulisho

Hili suala kwanza nchi ile haina elimu ya kutosha kuhusu kodi pia limekuja kama kero kwa wa nchi ile ya kufikirika

Pili wanaoratibu zoezi lile kwa maana ya watendaji wa chini wanapaswa kutumia tumishahara twao kuratib zoezi hilo na

Na nasikia na kodi ya kichwa ipo njiani maana naskia raia wa nchi ile kila mtu anadaiwa zaidi ya milioni 1.1 twafaaa
 
Mbaya zaidi ALISEMA KUWA KILE KITAMBURISHO NI KWA AJILI YA WALE BIASHARA YENYE MTAJI USIOZIDI 4MIL NIMEENA KUMKATIA DOGO KUMBE MUONGOZO UNASEMA KUWA ANAETALIWA KUMILIKI NI YULE MWENYE MAUZO YASIYO ZIDI 4MIL KWA MWAKA KWA HESABU HIYO MAMA NTILIE ANAEUZA SAHANI 4 KWA SH ELFU 4 KWA SIKU HASTAHILI KUWA NA KILE.HATA MCHOMA CHIPS

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Swala la vitambulisho sio baya kabisa haswa baada ya manispaa zetu kushindwa kuwatambua.

Ningetamani viboreshwe kwe kuachwa sehemu ya picha ili kuepuka kupeana. Pili hiyo picha ingegongwa mhuri na mamlaka ndogo anakofanyia biashara. Nginependekeza iwe ngazi ya mtaa au kata.

Ilivyo sasa kitambulisho cha Musoma kinaweza tumika songea wakati lengo ni kuwatambua wafanyabiashara wa mahali husika.


Sent using Jamii Forums mobile app
 
kuna harufu wakuu inanukiwa nchi ya kusadikika hasa baada ya mkuu wa nchi ile kuanzisha utambulisho kwa ajili ya walalahoi nia ilikuwa njema ila sasa yawezekana kikawa chanzo kipyaaaa kilichokuja kuwa kero maana yasemekana kuwa hadi wauza karanga za kutembeza mtu anamtaji wa elfu 3 hahaa mtukufu fundi bwana hahaa ila kingine cha kushtua ni kuwa naskia hadi vibarua wa mashambani nao wanapaswa kuwa na vitambulisho

Hili swala kwanza nchi ile haina elimu ya kutosha kuhusu kodi pia limekuja kama kero kwa wa nchi ile ya kufikirika

Pili wanaoratibu zoezi lile kwa maana ya watendaji wa chini wanapaswa kutumia tumishahara twao kuratib zoezi hilo na

Na nasikia na kodi ya kichwa ipo njiani maana naskia raia wa nchi ile kila mtu anadaiwa zaidi ya milioni 1.1 twafaaa

Sent using Jamii Forums mobile app
Hapo umeandika Nini sasa

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Huyo uliyem CC tayari umeshaharibu.

Amesababisha nimekuwa maskini wa kudumu. Ntaendesha bodaboda mpaka nidedi kwa ajili yake
Wala sijui kama unamfahamu ni coincedence tu. Namfahamu bibi yangu wa halali hii michepuko ikikuchakaza shauri yako. Tubaki kwenye mada sitaki kukuone huruma.
 
Kuna vitu vingine mnatakiwa msivichukulie serious sana. Kwanza angalieni akili za wanaovileta. Pili angalieni utekelezeja wake unawezekana?

Kwa maoni yangu hili jambo halitafanyika kwa mafanikio. Tayari limeshafeli kabla hata halijaanza.
Kuna msako utafuata i mean mfanyabiashara mdogo asie nacho hata kama anauza karanga atakamatwa.Kukosa kile ni sawa umejichongea serikalini kuwa wewe unauza bangi

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kuna msako utafuata i mean mfanyabiashara mdogo asie nacho hata kama anauza karanga atakamatwa.Kukosa kile ni sawa umejichongea serikalini kuwa wewe unauza bangi

Sent using Jamii Forums mobile app
Hahaha unajua mkuu hii kitu jamaa wana copy bila kuwa na akili. Siku zote unaweza kuona policy au strategy fulani imefanikiwa kwa mwenzako na ukatamani kuiweka na kwako.

Sio jambo baya hata, lakini kwa mwenye akili lazima uta consider factors mbalimbali ikiwemo kubwa ya 'demographics'.

Usitegemee sera ambayo ni feasible kwa watu fulani wa sehemu fulani kuwa nawewe ukiitumia basi itafanikiwa kama ilivyofanikiwa kwingine.

Wanasema ni kitambulisho yetu nasikia kina namba tu hakina jina wala picha na je utaweza vipi ku deal na wafanyabiasha ambao wengi wana mitaji midogo midogo ya karanga kwa ujumla wao?

Hiyo ni ndoto ya mchana. Watu wanatakiwa waamke na kuface reality.
 
Ni kweli hakina jina.
Lakini coment nying zimejawa uwongo,mihemko na chuki.TRA inanidai 180000.imekuja sheria mpya na deni limefutika.Hawaangalii unauza shiling ngapi wanaangalia una mtaji wa shilingi ngap.Mimi nimekata kwa biashara ya duka la nguo iweje mama ntilie ashindwe.Tuwe wakweli kama kitu hujui kaa kimya..Asante
20190208_161008.jpeg
20190208_161001.jpeg


Sent using Jamii Forums mobile app
 
Yaani uharibu mzunguko wa pesa ,ubakishe asilimia Tatu halafu uanze kutafuta kodi kwa watu wasio na pesa ,pesa umerundika bot halafu mnahangaika kusumbua watu maskini .
 
Mbaya zaidi ALISEMA KUWA KILE KITAMBURISHO NI KWA AJILI YA WALE BIASHARA YENYE MTAJI USIOZIDI 4MIL NIMEENA KUMKATIA DOGO KUMBE MUONGOZO UNASEMA KUWA ANAETALIWA KUMILIKI NI YULE MWENYE MAUZO YASIYO ZIDI 4MIL KWA MWAKA KWA HESABU HIYO MAMA NTILIE ANAEUZA SAHANI 4 KWA SH ELFU 4 KWA SIKU HASTAHILI KUWA NA KILE.HATA MCHOMA CHIPS

Sent using Jamii Forums mobile app[/QUOTnini sasa(360x4,000]
 
Back
Top Bottom