LilOmmy wa Times fm muda utazungumza

Jamaa ana kipaji kikubwa sana. Ndo presenter ninae mkubali sana kwa sasa.

Sent from my D6603 using JamiiForums mobile app
 
Niliona interview yake na Majani ilikua one of the best..hata majani mwenyewe alikua ana enjoy kuulizwa maswalu..huyu jamaa anajua sana kiukweli
 
Mume wa fatma nyangasa wa itv

Sent from my Falcon Supernova Pink Diamond iPhone 6 (Price: 95.5 Million U$)
 
IMG_0979-559x520.jpg


IMG_0958.jpg


maxresdefault.jpg


Anaimudu sana kazi yake.

Mbona mshamba? Hiyo si midosho kavaa? Nilitaka nimsikize ila first impression inaonyesha hana standards.
 
Huyu kijana anaheshimu sana watu na dj, producer hakika atafika mbali kwa heshima anayoitoa kwa watu wote.

Sent from my TECNO_W4 using JamiiForums mobile app
 
Jina la kitambulisho Ommary Rajabu Saleh Tambwe al maarufu Lilommy jamaa yuko kwenye tasnia kwa muda tangu enzi yuko Voice of Tabora (V.O.T) fm, Kiufupi anakipaji cha kutangaza,production,Graphix design, kuchana (kurap) kiufupi kajaaliwa

Nakumbuka kipindi yuko Tabora alikuwa ni Dj baadae akaanza kutangaza kipindi cha mchana cha Bongo Rhymes then akakibadili jina na kukiita Extra ordinary pia alikuwa na studio kama sikosei ilikuwa inaitwa Lunatic production.

Miaka ya 2008-2009 alipata ubalozi kutoka mtandao wa simu wa Zantel na hapo ndipo mambo yalianza kubadilika, kama masihala akaibuka mjini na milango ikafunguka zaidi pale Times fm, na kwa sasa ni moja kati ya watangazaji wa moto sana anazidi hadi wale walioko kwenye media kubwa ambao wengi wao majina yana wabeba na sio kipaji halisi.

Wengi wanaweza wakawa wamekuona na wakahisi sehemu ulipo sio sahihi, mimi nasema Times ni sehemu sahihi kwa sasa sidhani kama una nafasi ya utangazaji tu pale naamini una nafasi ingine pia ki utawala, Endelea kujenga jina na ipo siku wasio kuelewa watakuelewa ikiwa muda umewatupa mkono.

Ongeza chochote kwa Lilommy, wakuzua aka wamacausative aka ORST the king of Saturday show The PlayList
jamaa ni mkali kiukweli.. first time namsikiliza nilijiuliza inakuaje mtangazaji bora kama huyu anakua kwenye redio ndogo kama hiyo..
 
Muyu jamaa mngetuwekea na clips zake wengine tupo huku mashambani Olayaitoktoko...
Radio za huko mjini hazishiki huku....

Efm hawamtendei haki huyu mnyamwezi Jabir Saleh mda wa kipindi chake kimefinywa sana....

Efm kipindi cha mchana apewe huyu jamaa kukimbizana na clouds jamaa anamudu sana


Mke wa mchizi....
18723757_1858200411111970_1270457970471206912_n.jpg
 
Mbona sijawahi kukusikia lili Ommy?

Sent from my TECNO-C8 using JamiiForums mobile app
 
Muyu jamaa mngetuwekea na clips zake wengine tupo huku mashambani Olayaitoktoko...
Radio za huko mjini hazishiki huku....

Efm hawamtendei haki huyu mnyamwezi Jabir Saleh mda wa kipindi chake kimefinywa sana....

Efm kipindi cha mchana apewe huyu jamaa kukimbizana na clouds jamaa anamudu sana


Mke wa mchizi....
18723757_1858200411111970_1270457970471206912_n.jpg
uko mashambani redio za mjini hazishiki wala husikilizi ila Picha za wake wa watu unazipata, kumbuka wakiume wewe
 
Back
Top Bottom