Social maniac
JF-Expert Member
- Apr 8, 2016
- 357
- 427
Jamaa ana kipaji kikubwa sana. Ndo presenter ninae mkubali sana kwa sasa.
Sent from my D6603 using JamiiForums mobile app
Sent from my D6603 using JamiiForums mobile app
Anaimudu sana kazi yake.
Sky walker, jabir salehe na lil ommy wako poa.. sema lil ommy apunguze u yo yo.. anazinguaga sometimez
Sent from my SM-G900H using JamiiForums mobile app
jamaa ni mkali kiukweli.. first time namsikiliza nilijiuliza inakuaje mtangazaji bora kama huyu anakua kwenye redio ndogo kama hiyo..Jina la kitambulisho Ommary Rajabu Saleh Tambwe al maarufu Lilommy jamaa yuko kwenye tasnia kwa muda tangu enzi yuko Voice of Tabora (V.O.T) fm, Kiufupi anakipaji cha kutangaza,production,Graphix design, kuchana (kurap) kiufupi kajaaliwa
Nakumbuka kipindi yuko Tabora alikuwa ni Dj baadae akaanza kutangaza kipindi cha mchana cha Bongo Rhymes then akakibadili jina na kukiita Extra ordinary pia alikuwa na studio kama sikosei ilikuwa inaitwa Lunatic production.
Miaka ya 2008-2009 alipata ubalozi kutoka mtandao wa simu wa Zantel na hapo ndipo mambo yalianza kubadilika, kama masihala akaibuka mjini na milango ikafunguka zaidi pale Times fm, na kwa sasa ni moja kati ya watangazaji wa moto sana anazidi hadi wale walioko kwenye media kubwa ambao wengi wao majina yana wabeba na sio kipaji halisi.
Wengi wanaweza wakawa wamekuona na wakahisi sehemu ulipo sio sahihi, mimi nasema Times ni sehemu sahihi kwa sasa sidhani kama una nafasi ya utangazaji tu pale naamini una nafasi ingine pia ki utawala, Endelea kujenga jina na ipo siku wasio kuelewa watakuelewa ikiwa muda umewatupa mkono.
Ongeza chochote kwa Lilommy, wakuzua aka wamacausative aka ORST the king of Saturday show The PlayList
Yuko vizuriMbona mshamba? Hiyo si midosho kavaa? Nilitaka nimsikize ila first impression inaonyesha hana standards.
Pia apunguze maneno ya "I like that"..Sky walker, jabir salehe na lil ommy wako poa.. sema lil ommy apunguze u yo yo.. anazinguaga sometimez
Sent from my SM-G900H using JamiiForums mobile app
uko mashambani redio za mjini hazishiki wala husikilizi ila Picha za wake wa watu unazipata, kumbuka wakiume weweMuyu jamaa mngetuwekea na clips zake wengine tupo huku mashambani Olayaitoktoko...
Radio za huko mjini hazishiki huku....
Efm hawamtendei haki huyu mnyamwezi Jabir Saleh mda wa kipindi chake kimefinywa sana....
Efm kipindi cha mchana apewe huyu jamaa kukimbizana na clouds jamaa anamudu sana
Mke wa mchizi....