obama sererea
Senior Member
- Mar 13, 2012
- 101
- 37
Mwanaharakati na mtoto wa waziri Wasira,Lilian Wasira ambae sasa ni kamanda wa chama cha CHADEMA ter 09/12/2013 pole Landmark hotel atazindua albam yake ya nyimbo za harakati za ukombozi(CHADEMA).
Albam hiyo yenye nyimbo sita inayokwenda kwa jina la KWAHERI CCM na kusheheni nyimbo kali ambazo zitachochea kuleta hamasa za ukombozi wa taifa hili.
karibu watanzania muda saa tano asubuhi, kiingilio ni bure.
Albam hiyo yenye nyimbo sita inayokwenda kwa jina la KWAHERI CCM na kusheheni nyimbo kali ambazo zitachochea kuleta hamasa za ukombozi wa taifa hili.
karibu watanzania muda saa tano asubuhi, kiingilio ni bure.