Habari wapendwa,
Poleni na majukumu kunakipindi nilikutana na changamoto flani nikataman niuze baadhi ya vitu kimoja wapo lilikuwa ni shamba langu lile la Kilosa. Nashukuru Mungu sikupata mteja maana bei nilio kuwa nauza na ninacho kiona sasa nilikuwa nauza bei sawa na bure.
1. Zao la ufuta linakubali vizuri
2. Mahindi yanakubali vizuri pia
3. Mihogo inakubali vizuri sana
4. Kuna kunde
5. Maboga
Kiukweli aridhi ya KILOSA iko vizur sijawahi ona pia hakuna wanyama wala mifugo wenyeji wa huku kwa hekari moja huwa wanatoa hadi gunia 35 za mahindi na kukiwa kuna hali mbaya ya hewa wanapata gunia had 25 za mahindi kwa heka.
Kilimo cha huku KILOSA mara mbili kwa mwaka kuna mvua za vuri na masika.
Ni heka 3 yani (70×70) (70×70) (70×70) najiona mbali sana nikijitazama wenyeji wamenihakikishia sikosi chini ya gunia 80 kwa heka zote tatu na bado nimepanda na kunde ndani yake.
Mfano. bei ya chini ya mahindi iwe 30000
30000×80 idadi ya gunia
Gharama zote kama kulima na palizi na kuangalia shamba zinalipwa kwa kupitia kunde.
Nilitaka kuuza shamba kwa 350000 kila heka ambayo jumla ningepata 1,100,000 ila leo nakuja kupata sio chini ya 2,000,000 na bado aridhi ni naendelea kuimiliki.
Ushauri kwa Watanzania wote.
Aridhi inalipa jamani kupitia shamba naweza nunua kiwanja ila kupitia kiwanja kwasababu shamba linazalisha kiukweli fanya yote ila aridhi inalipa sio lazima ulime unaweza ukakodisha au ukafanya ufugaji.
Poleni na majukumu kunakipindi nilikutana na changamoto flani nikataman niuze baadhi ya vitu kimoja wapo lilikuwa ni shamba langu lile la Kilosa. Nashukuru Mungu sikupata mteja maana bei nilio kuwa nauza na ninacho kiona sasa nilikuwa nauza bei sawa na bure.
1. Zao la ufuta linakubali vizuri
2. Mahindi yanakubali vizuri pia
3. Mihogo inakubali vizuri sana
4. Kuna kunde
5. Maboga
Kiukweli aridhi ya KILOSA iko vizur sijawahi ona pia hakuna wanyama wala mifugo wenyeji wa huku kwa hekari moja huwa wanatoa hadi gunia 35 za mahindi na kukiwa kuna hali mbaya ya hewa wanapata gunia had 25 za mahindi kwa heka.
Kilimo cha huku KILOSA mara mbili kwa mwaka kuna mvua za vuri na masika.
Ni heka 3 yani (70×70) (70×70) (70×70) najiona mbali sana nikijitazama wenyeji wamenihakikishia sikosi chini ya gunia 80 kwa heka zote tatu na bado nimepanda na kunde ndani yake.
Mfano. bei ya chini ya mahindi iwe 30000
30000×80 idadi ya gunia
Gharama zote kama kulima na palizi na kuangalia shamba zinalipwa kwa kupitia kunde.
Nilitaka kuuza shamba kwa 350000 kila heka ambayo jumla ningepata 1,100,000 ila leo nakuja kupata sio chini ya 2,000,000 na bado aridhi ni naendelea kuimiliki.
Ushauri kwa Watanzania wote.
Aridhi inalipa jamani kupitia shamba naweza nunua kiwanja ila kupitia kiwanja kwasababu shamba linazalisha kiukweli fanya yote ila aridhi inalipa sio lazima ulime unaweza ukakodisha au ukafanya ufugaji.