Agizachochote
Member
- Sep 29, 2020
- 34
- 464
Omari Tambwe aka Lil Ommy kiukweli anacheza chini ya kiwango sana. Show za mchana zina taka presenter mwenye swaga ..mjanja mjanja.
Omari siyo mbunifu.. Hajui hata kuvaa.. Anavaa utadhani yupo ofisini ya serikalini au misikitini.. Acha brag brag.
Bado combination ya Adam, b12, fatuma na ncha kali haijawahi kutokea.!! Ommy ni overrated tu.. Jonijo yupo vizuri sana... Si umeona kipindi lao empire na twelve linavyo songa.
Sina chuki na Ommy sema jamaa inabidi akae kijanja siyo kifaza.
Ommy mzuri interview kwa wasanii tu ila kwa afternoon show hamna kitu pale.
Omari siyo mbunifu.. Hajui hata kuvaa.. Anavaa utadhani yupo ofisini ya serikalini au misikitini.. Acha brag brag.
Bado combination ya Adam, b12, fatuma na ncha kali haijawahi kutokea.!! Ommy ni overrated tu.. Jonijo yupo vizuri sana... Si umeona kipindi lao empire na twelve linavyo songa.
Sina chuki na Ommy sema jamaa inabidi akae kijanja siyo kifaza.
Ommy mzuri interview kwa wasanii tu ila kwa afternoon show hamna kitu pale.