Geza Ulole
JF-Expert Member
- Oct 31, 2009
- 59,062
- 79,089
Hapa Kazi tuu+sisi kazi tuu policy
Unamaanisha ule utoporoTuliisha wapiga bao kwenye millionaires.Unachochekacheka ni nini sasa
Unataka takwimu?Unamaanisha ule utoporo
Ulete huo utumboUnataka takwimu?
Mama la papa la likoni wapi daraja la likoni? Sisi tunapiga kazi usiku na mchana kujenga daraja la tanzanite dar mambo ni motoUnamaanisha ule utoporo
Alaaa!!kumbe ndio mmezinduka saiMama la papa la likoni wapi daraja la likoni? Sisi tunapiga kazi usiku na mchana kujenga daraja la tanzanite dar mambo ni moto
3.2 km Kigongo-Busisi bridge U/CAlaaa!!kumbe ndio mmezinduka sai
Umekasirika, si ndio mumeamka sai kwn ni uongo3.2 km Kigongo-Busisi bridge U/C
#Akilizahandshake#
CC: Zigi Rizla Kafrican Depay Yosef Festo Teargass Tony254 pingli-nywee komora096 Edward Wanjala kikihboy
nomasana, sam999, NairobiWalker, hbuyosh, msemakweli, simplemind, Kimweri, Bulldog, MK254, Kafrican, Ngongo, Ab_Titchaz, mtanganyika mpya, JokaKuu, Ngongo, Askari Kanzu, Dhuks, Yule-Msee, waltham, Mzee, mombasite gabriel, Juakali1980, Boda254, mwaswast, MwendaOmo, Iconoclastes, oneflash, Kambalanick, 1 Africa, saadeque, burukenge, nyangau mkenya, Teen-Upperhill Nairobi, kadoda11
Nyie mtaamka lini? Kidaraja cha Likoni zaidi ya miaka nane porojo tu! mpo usingizi wa pono kama si kufa! naskia mnachimba visima vya maji Nairobi!Umekasirika, si ndio mumeamka sai kwn ni uongo
Bwahaha!!naona umeukumbia huo uzi kule baada ya kutolewa ujingaNyie mtaamka lini? Kidaraja cha Likoni zaidi ya miaka nane porojo tu! mpo usingizi wa pono kama si kufa! naskia mnachimba visima vya maji Nairobi!
Nyie mtaamka lini? Kidaraja cha Likoni zaidi ya miaka nane porojo tu! mpo usingizi wa pono kama si kufa! naskia mnachimba visima vya maji Nairobi!
ati nn? First in Africa? Stop that stupidty n see ur peer in Ghana!Mbona unawashwa? The Construction of Mombasa Gate Bridge was to start in 2021.Ngoja 2021 iishe ndo uanze kupiga kelele. Right now we are building a floating pedestrian bridge which will be the first in Africa.
Huo hapo chini kaupikie ndizi👇👇👇Ulete huo utumbo
Kwn wewe ushaolewaHuo hapo chini kaupikie ndizi
Tanzania leads Kenya in the list of dollar millionaires
Halafu wewe mbona mbishi hivyo umeolewa kweli?
Soma hiyo link kwanza maswali baadaye.Kwn wewe ushaolewa