Like zimekuwa adimu

Mugare

JF-Expert Member
Oct 24, 2016
664
837
Habari wanajamvi! hivi mbona like zimekua adimu sana humu hata uone mtu kacoment point nzuri na yenye mashiko ila utaona coment yake inapitwa tu hapo na watapewa like wengine waliocoment upuuzi tu, navoona ni kama like zinatoka kwa kuangaliana majina na kwa kujuana na kwa style hii tafsiri yake ni kwamba mawazo mazuri yanapuuzwa na kipaumbele kutolewa kwa mawazo ya kipuuzi, dhihaka na kejeli!
Nadhani sio sawa tusapoti mawazo mazuri ili kujengeana kujiamini katika kujenga hoja na kuwa na mitizamo chanya
 
Habari wanajamvi! hivi mbona like zimekua adimu sana humu hata uone mtu kacoment point nzuri na yenye mashiko ila utaona coment yake inapitwa tu hapo na watapewa like wengine waliocoment upuuzi tu, navoona ni kama like zinatoka kwa kuangaliana majina na kwa kujuana na kwa style hii tafsiri yake ni kwamba mawazo mazuri yanapuuzwa na kipaumbele kutolewa kwa mawazo ya kipuuzi, dhihaka na kejeli!
Nadhani sio sawa tusapoti mawazo mazuri ili kujengeana kujiamini katika kujenga hoja na kuwa na mitizamo chanya
Likes jamani....!?
 
Darasa keshasema kuwa aliimba nyimbo zenye ujunbe lakini hakutoka, sasa kaamua aimbe hizi za hovyo hovyo tu ndio maana ka hit...
 
Habari wanajamvi! hivi mbona like zimekua adimu sana humu hata uone mtu kacoment point nzuri na yenye mashiko ila utaona coment yake inapitwa tu hapo na watapewa like wengine waliocoment upuuzi tu, navoona ni kama like zinatoka kwa kuangaliana majina na kwa kujuana na kwa style hii tafsiri yake ni kwamba mawazo mazuri yanapuuzwa na kipaumbele kutolewa kwa mawazo ya kipuuzi, dhihaka na kejeli!
Nadhani sio sawa tusapoti mawazo mazuri ili kujengeana kujiamini katika kujenga hoja na kuwa na mitizamo chanya
Ukiona hivi ujuwe na mivuke imezidi... maana LIKES are inversely proposional to kufuka moshi
 

Similar Discussions

7 Reactions
Reply
Back
Top Bottom