Wangari Maathai
JF-Expert Member
- Aug 13, 2018
- 34,962
- 70,472
Hawa inaonekana kote ni warefuKweli kabisa View attachment 1717924
Hawa inaonekana kote ni warefuKweli kabisa View attachment 1717924
Komredi naona umeamua kutoa darasa huru kwa kijana.....Jf niko since 2006, tulikuwq tukitumia majina halisi na anwani zetu za kweli, enzi hizo tukiitwa JamboForums.
List of shame ilitusababishia mashaka makubwa ndipo mwaka 2009 nikaja na user name ya Bujibuji.
Swali lako halijakaa kuiujenzi zaidi, ila kunidhalilisha.
Mimi ni nyani mkongwe, watu wa aina yako kwangu ni kama uturi mzuri.
PM yangu iko wazi siku zote, je kulikuwa na ugumu gani kunifuata huko?
Pia hapa tunaweka nyuzi ili kila mtu ashiriki katika kuzijenga na kuziboresha, je ulishinwa ingia Google ukaleta ili jamii ya watu wetu wajionee Hawa majitu yanavyofanana?
Kwani wale si waliteketezwa na mvua ya gharika au baadhi waliingia kwenye safina?Majitu marefu au? Kama wale wa kwa bible
Sina hakika mkuuKwani wale si waliteketezwa na mvua ya gharika au baadhi waliingia kwenye safina?
Komredi naona umeamua kutoa darasa huru kwa kijana.....
Madogo wqnazingua malengendariKomredi naona umeamua kutoa darasa huru kwa kijana.....
Wamefeli walisha angamizwaMkuu habari haijakataka kiu ya mtima nahisi urudi ufanyie utafiti ili sisi sote tupate kujifunza.
Kweli kwenye Bible Kuna Majitu yametajwa lakini Mkuu kataja Afrika,na angesema waliishi Karne ipi,Kanda ipi ya Africa,na angeleta reference za kihistoria.
Vinginevyo hii itakuwa tu Kama Riwaya
😳😳Kwanini unataipu wakati unadraivu at the same time!??? Wewe mwenyewe umeshindwa nini kunifuata PM ukayasema haya, hujui unaniharibia BRAND yangu nimehustle sana kuijenga kwa miaka mingi!??? Ikumbukwe mimi ndiye member pekee hapa JF ambaye rates za PM ziko chini sana, ukiachilia mbali yale makatomakato ya kawaida. Haya ni mafanikio makubwa sana ya serikali ya awamu ya tano, imeondoa utitiri wa kero, kodi & tozo almost 200 ili Watanzania tufanye business watu tutajirike tuwe mazilionea.
Nimepigwa ngwala, kata funua, kimo cha mbuzi, mtama wa Adam MchomvuHahahahahahahaa mbavu zangu mm, umedhalilishwa kama Lowasa alipong'atuka
Ni kweli kabisa!!Hawa inaonekana kote ni warefu
Hahahaaaaa! aithee Mshana njoo huku.Huu uzi bila picha Ni Kama kula ugali kwa picha ya samaki
Nakupa utaratibu soonIkiwa kazi kubwa ya wadinka wa kiume ni kukata misitu itakuwa tangu miaka hiyo kwa sasa hawana kazi tena.
Halafu naomba nifahamishe jinsi ya kupeleka posa kwa wasichana wa kidinka kwani nimependa sana vimo vyao ili niwalete kwetu milimani.
Sawa.NasubiriNakupa utaratibu soon
Ona chuchu hiyo
Walichotwa na mvua ya gharika wote wale majitu sababu yalikuwa yamezaliwa kiharamu haramu vile. (uhusiano kati ya malaika na raia wa duniani) ndio wakatoka copy ya hiyo mijitu mi deadly! 😂Kwani wale si waliteketezwa na mvua ya gharika au baadhi waliingia kwenye safina?