metatron
JF-Expert Member
- Sep 26, 2016
- 552
- 274
Ni Kweli kabisa mkuu finishing inabidi uvute pumnzi.Sawa wacha niweke alama uzi huu nitarudi nikianza kujenga
Ni Kweli kabisa mkuu finishing inabidi uvute pumnzi.Sawa wacha niweke alama uzi huu nitarudi nikianza kujenga
Installment ina mfumo mmoja tu unaweka ulichonancho kwanza unapewa receipt baad aya mda kama mwezi unae,a malizia au ukaweka awamu tatu ila isiwe mda mrefu sana atleast ndani ya miez miwili,usalama ni kuwa unapewa receipt na official na mihuli,may b unaezasema ww ulitaka usalama upi zaidiKama mna mfumo wa installments,funguka tuone usalama wake.
Uje unipe jibu nahitaji bati this saturday,Installment ina mfumo mmoja tu unaweka ulichonancho kwanza unapewa receipt baad aya mda kama mwezi unae,a malizia au ukaweka awamu tatu ila isiwe mda mrefu sana atleast ndani ya miez miwili,usalama ni kuwa unapewa receipt na official na mihuli,may b unaezasema ww ulitaka usalama upi zaidi
GAUGE(units of thikness)Naomba ufafanuzi hapo kwenye meter, ni kipande au? mfano ubapoandika gauge.... 9500/ meter.
Hivi vipimo mbona vinajulikana at aukishika futi yako au ata ukiazima utaona vimipo in ft na meter tafuta futi utaviona hapa kwa picha huezi ona hvy vitu mkuuuu jst formul arahisiNaomba ufafanuzi hapo kwenye meter, ni kipande au? mfano ubapoandika gauge.... 9500/ meter.
Nini kinafanya bati za kiwanda kimoja kuwa na bei tofauti?Naomba ufafanuzi hapo kwenye meter, ni kipande au? mfano ubapoandika gauge.... 9500/ meter.
Somo jingine kwa nini bei ya mabati inatofautiana kiwanda kimoja na kingine.Naomba ufafanuzi hapo kwenye meter, ni kipande au? mfano ubapoandika gauge.... 9500/ meter.
Walituaminisha bati hizi kwa elfu 50 unapata moja tu!
Ilikuwa nikipita kwenye nyumba zilizoezekwa na hizi bati nazihesaaabu afu nazidisha mara 50 elfu kwa kila bati...najikuta sitamani hata kununua kiwanja....
Shubaaamit!
Ukichukua bati za upana huo huo za kampuni moja ili zikupe kilo 90,ukaamua kuziweka kwa bundle
Bati za gauge28 zitakaa piece 12,gauge30 zitakaa 16 na gauge 32 zitakaa 20 na zote zitakuwa na 90kg
Soma vizuri post juu utaona kila kitu mkuuu,unezekaa umesoma page ya mbele boos wanguUngetoa Bei Elekezi Ingekuwa Vizuri Zaidi
Ungetoa Bei Elekezi Ingekuwa Vizuri Zaidi