johnthebaptist
JF-Expert Member
- May 27, 2014
- 83,915
- 141,874
Mbunge wa Kilombero kupitia Chadema na sasa ameomba kuhamia CCM mh Lijualikali amesema wanaomsimanga mitandaoni na kudai Chadema imemtoa mbali hawajui wasemalo.
Lijualikali amedai yeye ndio ameibeba Chadema Kilombero kwa sababu ilikuwa haijulikani hivyo wanapaswa kumuheshimu na kumshukuru.
Lijualikali amesema alikuwa anatumia fedha zake binafsi kuitangaza Chadema lakini leo shukrani ya punda imekuwa mateke.
Maendeleo hayana vyama!
Lijualikali amedai yeye ndio ameibeba Chadema Kilombero kwa sababu ilikuwa haijulikani hivyo wanapaswa kumuheshimu na kumshukuru.
Lijualikali amesema alikuwa anatumia fedha zake binafsi kuitangaza Chadema lakini leo shukrani ya punda imekuwa mateke.
Maendeleo hayana vyama!