Lijualikali alivyomchefua spika bungeni

Hawa hapa


50425929a5791b8f750b60d889f7a505.jpg



af32fe09a968ea620202515f251fe941.jpg
 
Hawa hapa


50425929a5791b8f750b60d889f7a505.jpg



af32fe09a968ea620202515f251fe941.jpg
Hii staili(style) yako nina mashaka nayo. Unajifunza kuaplodi (to upload) picha.

Back to the thread, Lijualikali kamwaga point tupu,
mwanzo upinzani walizomewa means walionekana hawajui wanachochangia,...
 
Mbunge Lijualikali alisema wabunge wenye akili kubwa walikuwa wakidai mikataba ya madini ina tatizo tangia mwanzo, na wenye akili ndogo wakawa wanawazomea na kuwakashifu, spika alionekana kukerwa na kauli hii na kumuonya


Jiwe la kurushwa gizani, lakini limerushwa mchana kweupe pee
 
11 Reactions
Reply
Back
Top Bottom