Yamakagashi
JF-Expert Member
- Sep 19, 2016
- 8,615
- 17,607
Akili ndogo kweli anakataa nini
Mbunge Lijualikali alisema wabunge wenye akili kubwa walikuwa wakidai mikataba ya madini ina tatizo tangia mwanzo, na wenye akili ndogo wakawa wanawazomea na kuwakashifu, spika alionekana kukerwa na kauli hii na kumuonya
Amesema ukweli mtupu, wabunge wa ccm ni akili ndogo, hivi Lusinde unaweza kumlinganisha na lissu
HahahaAmesema ukweli mtupu, wabunge wa ccm ni akili ndogo, hivi Lusinde unaweza kumlinganisha na lissu
HahahaAkili ndogo, spika kaumwa kweli kweli utafikiri kabebeshwa kontena la makinikia.
Mbunge Lijualikali alisema wabunge wenye akili kubwa walikuwa wakidai mikataba ya madini ina tatizo tangia mwanzo, na wenye akili ndogo wakawa wanawazomea na kuwakashifu, spika alionekana kukerwa na kauli hii na kumuonya
Ndiyo. Zimegawanyika kivyama, akili ndogo huwezi kugombea upinzani ukapita. Akili ndogo wote wako serikalini na kwenye chama tawala. Angalia hata wanasheria wa serikali kila siku wanabwagwa na wanashria wa kujitegemea.HIZI AKILI KUBWA NA NDOGO ZIMEGAWANYIKA KICHAMA AU????