Otorong'ong'o
JF-Expert Member
- Aug 17, 2011
- 37,441
- 25,582
Ndege hata mwaka hazijatimiza......! Mambo ya ajabu sanaMbona Kawaida chombo cha moto Kupata technical/mechanical problem
Yeye amejuaje kuwa ni Mbovu!
Ndege hata mwaka hazijatimiza......! Mambo ya ajabu sanaMbona Kawaida chombo cha moto Kupata technical/mechanical problem
Yeye amejuaje kuwa ni Mbovu!
Hivi kila akigusa huwa ni kibovu ana nini?Azidi kushangaa kumpongeza rais kwa kazi aliyoanza badala ya kusubili amalize kazi na kusema alitarajia aseme flani na flani wahojiwe juu ya mikataba huu ni kudhihirisha hii muvi ndo efika mwisho.
- Akihojiwa na blog ya muuñgwana kuhusu hali nzima ya makinikia na hatua alizochukua rais kuongea na wezi ikiwa ni tofauti na wezi wengine wanaopigwa mawe na kufungwa.
Na kaenda mbali zaidi na kusema rais alipata wapi mamlaka ya kuchukua fedha na kununua ndege kinyume na sheria? Je ccm walio wengi wana haki ya kuhoji matumizi hayo yalio nje na mpango wa bunge?
Je unajua moja ya ndege hizo ni mbovu na imepaki haifanyi kazi? Na tulisema kanunua mitumba?
Huyo Mbunge pumbavu sana, hata binadamu akizaliwa leo anaweza kuugua baada ya siku kadhaa sembuse ndege?
Hivi hawa wapinzani wa Tanzania wana matatizo gani kwenye ubongo?
kwani tangazo la ATCL kuhusu hii ndege hawakulisoma au? Mbona gari yake huwa anaipeleka service kila wakati why ndege?
Wewe ndo mpumbavu hujui usemalo! Kimsingi manunuzi yanatakiwa yawe wazi kwa bunge na si rais kujichukulia maamuzi bila kushirikisha bunge wewe huoni kama kuna maamuzi Rais hufanya kibabe bila ushauri wa wote!! TAKE TIME TO THINK IT IS A SOURCE OF POWER!.
Unajua njia ya muongo huwa ni 'PUFI'Acha kupotosha umma
Si vyema kusema mambo usiyekuwa na uhakika nayo
Air Tanzania kwa sasa wana ndege 3
Iliyoaribika kwa sasa ni ile ndege ya zamani
Sio zile Bombidier 2 zilizo nunuliwa na serikali ya mh Magufuli
kwani wapinzani kuna kitu gani washawahi kuisifia serikali....wao sababu ni wapinzani wanajua kila kitu ni kupinga tu...anyway hatukatai kuikosoa serikali pale inapobidi....Mbona Kawaida chombo cha moto Kupata technical/mechanical problem
Yeye amejuaje kuwa ni Mbovu!
Mkuu una uhakika na unacho kisema? Kabla ya kutuhumu watu wanapotosha hakikisha uko sahihi.. bombardier ndio ipo kwenye matengenezoAcha kupotosha umma
Si vyema kusema mambo usiyekuwa na uhakika nayo
Air Tanzania kwa sasa wana ndege 3
Iliyoaribika kwa sasa ni ile ndege ya zamani
Sio zile Bombidier 2 zilizo nunuliwa na serikali ya mh Magufuli
Duh! hata kama maana na muktadha si kama ulivyoandika hapo kwenye red, ni vizuri uhariri tu hilo neno likae vizuri!Atafukuzwa Bungeni ili ashughulikiewe!. Yeye anahoji kama nani? Kazi yake ni kutombea tu na kuonyesha uzalendo wakati tunatafuta fwedhaaaa!. Habari za fwedhaaa hizo zinafanya nini kwa ajili ya anani sijui nani kashiriki kununua nini HAYAMUSU. Kutuhoji ni kutujaribu!. Akifukuzwa bungeni sisi huku tutamshughulikia bila huruma kabisa!. Hatuajiribiwi sisi!.
Na kaiendeleea tutawaambia wajumbe wetu kule wamfukuze akione cha moto!. Hawa watu hawaaminiki. Wanaaminika tu katika kutuombea, lakini masuala mengine ya maendeleo ni "ADUI".!. Siyo wenzetu hwa wanaohojoi hoji mitindo yetu!
, hata binadamu akizaliwa leo anaweza kuugua baada ya siku kadhaa sembuse ndege?
kwani tangazo la ATCL kuhusu hii ndege hawakulisoma au? Mbona gari yake huwa anaipeleka service kila wakati why ndege?
Mali mpya huwa inapewa guaranteee ya kufidiwa au kutengeneza,sasa hii mpya ya mabilioni mbona walioitengeneza hawaji kuikarabati?Mbona Kawaida chombo cha moto Kupata technical/mechanical problem
Yeye amejuaje kuwa ni Mbovu!
Cha kushangaza na kusikitisha zaidi mkuu, ni kwamba iliyoharibika sio kati ya zile Bombadia za JPM....ni ndege ya zamani. Na jana imetolewa ufafanuzi vizuri sana na Mkurugenzi wa ATCL.Kwanini upinzani mnaona kila jambo ni kupinga tu? Why harbor such vitriol and negativity? Kwani ndege kuharibika ni kitu cha ajabu? Chombo chochote huharibika na kutengenezwa. Mnapopinga kila kitu ili mradi tu mmepinga mnatusikitisha hata sie ambao huwa kuna wakati tuna-support hoja zenu. Wekeni u-Taifa mbele na sio kupinga kila kitu Mheshimiwa Rais anachofanya. Kuna mambo ambayo wengi hatumuungi mkono lakini kumtafuta uchawi kwa kila jambo si busara. Hii nchi ni yetu wote. Let us all play our parts to be proactive and constructive even in our criticism. Badilikeni.
kwani wapinzani kuna kitu gani washawahi kuisifia serikali....wao sababu ni wapinzani wanajua kila kitu ni kupinga tu...anyway hatukatai kuikosoa serikali pale inapobidi....
Duh! hata kama maana na muktadha si kama ulivyoandika hapo kwenye red, ni vizuri uhariri tu hilo neno likae vizuri!