Ligi ya Mabingwa Afrika: Simba yapewa Mwarabu (Al Ahly) na Mcongo (As Vita Club)

DROO ya mashindano ya kimataifa, kombe la shirikisho na Ligi ya mabingwa Afrika imefanyika mchana wa leo huko nchini Misri na wawakilishi wawili wa Tanzania katika mashindano hayo wametambua wapinzani wao.

Simba ambao wapo katika Ligi ya mabingwa Afrika wamepangwa kundi (A), tena na Waarabu wa Misri Al Ahly ambao walikuwa nao katika kundi misimu miwili iliyopita katika mashindano hayo na wote wakasonga katika katua ya robo fainali.

View attachment 1671905

Kundi hilo la A, ukiachana na Al Ahly wawakilishi hao wa Tanzania wamepangwa na nyingine mbili, AS Vita ambao nao walikuwa kundi moja misimu miwili iliyopita na Simba walifuzu hatua ya makundi baada ya kuwafunga mchezo wa mwisho mabao 2-1, katika uwanja wa Benjamin Mkapa (Taifa).

Timu nyingine ambayo ipo katika kundi hilo la Simba ni miamba ya soka la Sudan El Marreikh.

View attachment 1671909

Mjumbe wa bodi ya wakurugenzi Simba, Mulamu Ng'ambi amesema si kundi lao bali mengine yote ni magumu lakini kwa namna ambavyo anauzoefu wa mashindano hayo anaona wananafasi kubwa ya kwenda katika hatua ya robo fainali pamoja na Al Ahly kama ilivyokuwa mwaka juzi.

"Kundi ni gumu lakini kuwepo na Al Ahly pamoja na AS Vital ambao tunawafahamu naona nafasi kubwa ya kusonga mbele tunayo kuhusu EL Marreikh si timu ya kuibeza lakini rekodi zinaonyesha hatujawahi kupoteza mchezo wowote nchini kwao," amesema Ng'ambi.

Ukiachana na mchezo huo wawakilishi wengine kutoka Tanzania katika kombe la Shirikisho Afrika Namungo katika hatua ya tatu wamepangwa kucheza na DE Agosto kutokea Angola.

Katika hatua hiyo Namungo wataanzia ugenini kabla ya kuja kukamilisha hatua hiyo kwa kucheza mechi ya marudiano nyumbani hapa Tanzania na kufahamu kuwa watakuwa wamesonga mbele hatua ya makundi au wameishia hapo.
Andaeni Panya wenu
 
Hata mama yako alpgwa 5 ukatoka wewe nguruwe
Mwarabu anakulia Tende na kukunywea maziwa ya ngamia huku As Vita mkongo anakulambia Vumbi la Kongo.Jiandae kula kuanzia goli 5 kwenda juu. Hata ukibisha umeshaangukia mikononi mwao huna jinsi ukikubali kuolewa sharti ulale bila nguo.Message sent hata ukijitoa ufahamu unajifanya hutaki kuelewa ukweli ndiyo huo muda utasema.stay tuned kuliwa
 
Endelea kuwa MTU wa singeli football huijui. Hakuna timu inayoitwa AC VITA Bwege wewe
Lazima Simba aliwe muda utasema wewe ndugu yangu Much much jiandae kuliwa huna jinsi umeangukia mikononi mwa wanaume wa Soka lazima upapaswe Kama ulivyopapaswa na Masau bwire
 
Hesabu za figisu za kuwapulizia sumu vyumbani,mpira wa kucheza nje ya uwanja umebaki kwa nyau fc hapa duniani,juzi kwa ujinga wenu mkaingiza hadi mipaka uwanjani,imagine msimu ujao iwapo mtashiriki michuano ya caf halafu mkapangiwa wale wazimbabwe kule kwao lazima walipize yote mliyowafanyia na iko ndio kitawakuta kwa aly ahl na vita
Yani nawaonea huruma kipigo watakachokipata Uarabuni na Kongo watajuta kuingia kwenye makundi.Uzuri wake Wanafahamu uchafu wote wa Simba lazima As Vita na wale waarabu walipize kisasi
 
Kila timu inaweza shinda mechi zake zote za nyumbani kitakachoamua ni umeshinda magoli mangapi na umetobolewa mangapi huko ugenini
Simba ina rekodi mbaya ya kupanua mapaja mwishowe kutobolewa mabao ya kutosha ugenini
We umesahau Algeria ulipigwa vingapi
 
Back
Top Bottom