Chura wa jangwaniHa haaaa ..
Manyaunyau FC.
Kwani paka wetu amekufa??? By the way wembe ni ule ule kwa Mkapa hatoki mtu kisha haoooo nafasi ya pili.Mwarabu anamlia Simba tende na maziwa ya ngamia.
Mkongo anamlambia vumbi la Kongo Simba.
Simba sijui anachomoa wapi hapo?
Hapa ndiyo tutaelewa maana ya uwekezaji kwenye soka.
Simba Nguvu Moja ...
Manyaunyau fc au Pisi kali wakipata hata points 3 wakatambikeTaifa tujiandae na aibu ya kufungwa goli 7 au 10 kundi limejaa timu za kiarabu, Simba na waarab wapi na wapi?
Tuliwekwa pot number 3 tutakuaje underdog?Simba ndo under dog wa kundi!
Ila TANO tena haikwepekiSimba akichanga karata vyema atatoboa nafasi ya 2
Ni AS VITA na sio AC VITASimba akijitahidi anaweza pata point 4 tena kwa timu hiyo ya Sudan,kupangwa na AC Vita na Mabingwa watetezi wa Misri ni dis advantage kubwa kwa Simba,maana siasa za nje ya uwanja wana zijua sana kwa Simba.
Hivi mkuu unaelewa kwamba aibu tulishaletewa na uto toka enzi....sababu ndo timu inayoongoza kwa kufungwa magoli mengi champions league uwe unakaa kimyaaTaifa tujiandae na aibu ya kufungwa goli 7 au 10 kundi limejaa timu za kiarabu, Simba na waarab wapi na wapi?
Endelea kuwa MTU wa singeli football huijui. Hakuna timu inayoitwa AC VITA Bwege weweSimba akijitahidi anaweza pata point 4 tena kwa timu hiyo ya Sudan,kupangwa na AC Vita na Mabingwa watetezi wa Misri ni dis advantage kubwa kwa Simba,maana siasa za nje ya uwanja wana zijua sana kwa Simba.
Muda huo Uto wako kundi gani?nyau fc hilo kundi limekaa katika kulipiza kisasi, aly ahl na vita mara ya mwisho mlipocheza nao kwao waliwapiga 5 dar mkaja kuwafunga na wote walilalamika mliwapulizia dawa vyumbani.
Sasa zile figisu mlizowafanyia hapo dar mtegemee kuzipata mkienda kwao,safari hii kama hamjapigwa 10-10 huko ugenini sijui
Uoga wenu yanga ndio maana kazi yenu kupokea wageni tuHesabu za figisu za kuwapulizia sumu vyumbani,mpira wa kucheza nje ya uwanja umebaki kwa nyau fc hapa duniani,juzi kwa ujinga wenu mkaingiza hadi mipaka uwanjani,imagine msimu ujao iwapo mtashiriki michuano ya caf halafu mkapangiwa wale wazimbabwe kule kwao lazima walipize yote mliyowafanyia na iko ndio kitawakuta kwa aly ahl na vita
Kila timu inaweza shinda mechi zake zote za nyumbani kitakachoamua ni umeshinda magoli mangapi na umetobolewa mangapi huko ugeniniMuhimu simba washinde nyumban
.Uoga wenu yanga ndio maana kazi yenu kupokea wageni tu
Muda huo Uto wako kundi gani?