Ligi kuu ya England ilianza kuonyeshwa lini Tanzania na ilionyeshwa na Channel gani

Mtoto wa nzi

JF-Expert Member
Jun 6, 2012
9,015
16,145
Kama uzi unavyijieleza .... Kuna kaubishi hapa. Ila binafsi nakumbuka kama vile DTV ila kuna jamaa hapa anasema C2C mwingine ITV mwingine Channel ten. Karibuni
 
TVZ
televisheni zanzibar

TVZ sasahivi ZBC nakumbuka niliangalia EPL mwaka 1999 walikuwa wakionesha mechi moja tu kila wiki kwa siku ya Jumamosi ambapo nakumbuka nikiwa nimeshikilia kikombe cha Kahawa mkononi nikimshuhudia Chelsea akimpiga bingwa wa wakati huo goli 5 - 0.

Before 1999 sikuwa nikiifatilia TVZ, only nakumbuka EPL kupitia DTV
 
TVZ sasahivi ZBC nakumbuka niliangalia EPL mwaka 1999 walikuwa wakionesha mechi moja tu kila wiki kwa siku ya Jumamosi ambapo nakumbuka nikiwa nimeshikilia kikombe cha Kahawa mkononi nikimshuhudia Chelsea akimpiga bingwa wa wakati huo goli 5 - 0.

Before 1999 sikuwa nikiifatilia TVZ, only nakumbuka EPL kupitia DTV
kiupande wangu ilikuwa pia week end.
man utd 6 arsenal 2.
mwaka 2001
safari yangu ya kuipenda manchester united ilianzia hapo.
pengine ile mechi mshindi angelikuwa ni arsenal leo hii ningelikuwa mshabiki wa arsenal.

baadae ilitokezea jamaa fulani alikuwa na dishi nyumbani kwake, nyumba nyingi za jirani zikawa zinapata channel za soka.

mtaa nauhifadhi niliokuwa naishi
 
TV mmeanza kuangalia juzi tu..toka kitambo Zenji walikuwa wanaonyesha..mchonga alitunyosha sana
 
TVZ sasahivi ZBC nakumbuka niliangalia EPL mwaka 1999 walikuwa wakionesha mechi moja tu kila wiki kwa siku ya Jumamosi ambapo nakumbuka nikiwa nimeshikilia kikombe cha Kahawa mkononi nikimshuhudia Chelsea akimpiga bingwa wa wakati huo goli 5 - 0.

Before 1999 sikuwa nikiifatilia TVZ, only nakumbuka EPL kupitia DTV
nimetazama epl mwaka 97 itv
 
ITV walikuwa wanaonyesha pia. Ila si kweli kwamba ndio walioanza. Hata Klabu bingwa Ulaya(UCL) na kombe la shirikisho la ulaya(Europa) walikuwa wanaonesha pia kupitia channel ya CFI(Canal France International)
 
TVZ sasahivi ZBC nakumbuka niliangalia EPL mwaka 1999 walikuwa wakionesha mechi moja tu kila wiki kwa siku ya Jumamosi ambapo nakumbuka nikiwa nimeshikilia kikombe cha Kahawa mkononi nikimshuhudia Chelsea akimpiga bingwa wa wakati huo goli 5 - 0.

Before 1999 sikuwa nikiifatilia TVZ, only nakumbuka EPL kupitia DTV
Mwaka 1996 au 1997 ITV na DTV nimeangalia EPL,na ITV walikua wanaonesha na Serie A pia enzi za akina Ravanelli,Baggio nk
 
kiupande wangu ilikuwa pia week end.
man utd 6 arsenal 2.
mwaka 2001
safari yangu ya kuipenda manchester united ilianzia hapo.
pengine ile mechi mshindi angelikuwa ni arsenal leo hii ningelikuwa mshabiki wa arsenal.

baadae ilitokezea jamaa fulani alikuwa na dishi nyumbani kwake, nyumba nyingi za jirani zikawa zinapata channel za soka.

mtaa nauhifadhi niliokuwa naishi

Mimi nakumbuka Kitambo kabisa kabla ya TVZ kuonesha around miaka ya 1996 kabla sijahama Home Zanzibar tunatoka uswahilini tunaenda Serena Hotel (Mji Mkongwe) kuvizia DTV kuangalia EPL wakati huo Hakuna Kibanda umiza hata kimoja tofauti na sasa Madogo wanaibukia EPL TV zikiwa majumbani wanaangalia wakiwa wameketi kwenye Sofa.

Lakini marahii nilienda likizo home nikakuta Kibanda Umiza maeneo ya Kiponda jirani na Shule ya Kiponda ndiyo nikaangalia Fainali ya CL.
 
TVZ sasahivi ZBC nakumbuka niliangalia EPL mwaka 1999 walikuwa wakionesha mechi moja tu kila wiki kwa siku ya Jumamosi ambapo nakumbuka nikiwa nimeshikilia kikombe cha Kahawa mkononi nikimshuhudia Chelsea akimpiga bingwa wa wakati huo goli 5 - 0.

Before 1999 sikuwa nikiifatilia TVZ, only nakumbuka EPL kupitia DTV
Daaah.

Eti mwaka 1999.

Juzi tu hapo wakati nasoma minaki mwaka 1999 tulikuwa tunaangalia EPl shuleni.

Ila mwaka 1996 dtv walikuwa wanaonyesha
 
Back
Top Bottom