Ligi kuu Uingereza mbona sijawahi kuona waamuzi weusi?

Kifurukutu

JF-Expert Member
Aug 29, 2013
4,502
6,403
Kheri ya mwaka mpya wakuu,

Nimekuwa mfuatiliaji wa ligi kuu ya Uingereza maarufu kama EPL kwa muda sasa, nimeshuhudia wachezaji wa kila aina wakicheza na kustafu soka rangi tofauti blacks and whites.

Lakini sijawahi kubahatika kuona mwamuzi wa mpira wa miguu wa kati katika ligi hii pendwa dunia kote akichezesha mechi yoyote ile, sijajua tatizo ni nini ilhali nchi ya Uingereza inamchanganyiko na watu weusi ni wengi tu.

Wajuzi wa mambo nifumbueni hapa inakuaje hakuna referee mweusi EPL na ligi nyingine pia kama Serie A Laliga etc.
 
  • Thanks
Reactions: BAK
Mkuu mm mwenyewe pia mfuatiliaji mzuri wa EPL kwa muda mrefu pia championship huwa naangalia Mara kwa Mara ila sijaona refu mweusi. Sababu sidhan kama ni ubaguzi kwa sababu ktk nchi za ulaya Britain ni moja ya nchi zilizopiga hatua kubwa ktk kupambana na ubaguz wa rangi na sheria zake ni Kali. Nadhan unakumbuka sakata la Evra vs Suarez n.k ila inawezekana mablack wa Britain huwa hawajihusishi sana na mambo ya uamuzi ila sio kutengwa/ kubaguliwa. Lakini ktk mabench ya ufundi tunawaona wengi tu
 
Uriah Rennie
uriah.jpg

former EPL ref
 
Back
Top Bottom